MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Kijana yuko timamu.
Kwani hajui kusema mpaka Aungurume huyo Msaliti?katika orodha ya wabunge watakaoongea bungeni mchana huu kuchangia katika mjadala wa wizara zilizopo chini ya ofisi ya rais ikulu ni zitto zubeir kabwe, mpambanaji. tufuatilie mchango wa mwanasiasa huyu mahiri, dira na role model ya vijana.
tunategemea mchango constructive wenye mtizamo wa kitaifa kutoka kwa gwiji huyu wa siasa snsyevuma sana hapa nchini.
Kijana yuko timamu.
anasema lukuvi ambaye anahusika na usimamizi wa tume ya taifa ya uchaguzi yupo bungeni lakini hajaleta majibu ya kueleweka
watz wanataka tutaje majina, lakini kutaja majina haisaidii kwa sababu hili ni tatizo la kimfumo. tunataka mfumo huu ufumuliwe kukomesha uchafu huu. serikali iwajibike ipasavyo
Mkuu umeanzisha thread na kuijaza mwenyewe! kazi kwelikweli
Mkuu umeanzisha thread na kuijaza mwenyewe! kazi kwelikweli
Kachukue buku 7 kwa TeamZittoLema analeta ujanjaujanja wake. anajua kuwa kuna mchakato unaoendelea kuchuguza wenye fedha na mali nje ya nchi na Bosi wake ni mmoja wa watuhumiwa wa kuwa na nyumba Dubai ambayo hainekani katika fomu za madili na wala vielelezo vya kibenki vya manunuzi hivyo anajaribu kumzuga Zitto aingilie uchunguzi ili wajenge utetezi wa technicatlities ambao utamuondoa Mbowe katika sakata hili pamoja na mafisadi wengine washirika wake Lema tangia enzi zake TLP na wakati ule alipokuwa akiyaka kujiunga na CCM....
katika orodha ya wabunge watakaoongea bungeni mchana huu kuchangia katika mjadala wa wizara zilizopo chini ya ofisi ya rais ikulu ni zitto zubeir kabwe, mpambanaji. tufuatilie mchango wa mwanasiasa huyu mahiri, dira na role model ya vijana.
tunategemea mchango constructive wenye mtizamo wa kitaifa kutoka kwa gwiji huyu wa siasa snsyevuma sana hapa nchini.