Mungai Msele
Senior Member
- Dec 19, 2013
- 105
- 28
Habar Jamiiforums.
Bila shaka kila mmoja wetu anajua sakata lililoko Chadema kwa wakati huu, Sakata hili huenda lisiishe leo,Kutokana na Kamati kuu ya Chama kuendelea kusubiria utetezi wa watuhumiwa, Lakini kinachoshangaza Katika hili, Ni kwanini Mmoja wa watuhumiwa ambaye ni Zitto, Alikata Rufaa kwa baraza kuu, Ili hali yeye mwenyewe alishawasilisha maombi ya kuachia nafasi zote ndani ya Chama? kwa mujibu wa Chadema kupitia kwa Mwanasheria wake na gwiji wa Sheria
Mh.Antipas Tundu Lisu.
Bila shaka kila mmoja wetu anajua sakata lililoko Chadema kwa wakati huu, Sakata hili huenda lisiishe leo,Kutokana na Kamati kuu ya Chama kuendelea kusubiria utetezi wa watuhumiwa, Lakini kinachoshangaza Katika hili, Ni kwanini Mmoja wa watuhumiwa ambaye ni Zitto, Alikata Rufaa kwa baraza kuu, Ili hali yeye mwenyewe alishawasilisha maombi ya kuachia nafasi zote ndani ya Chama? kwa mujibu wa Chadema kupitia kwa Mwanasheria wake na gwiji wa Sheria
Mh.Antipas Tundu Lisu.