KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
kaandika kitu gani kibaya acha uchochezi kijana umekosa kazi ya kufanya
maringo7 hivi malipo ya buku saba yanajumuisha na issue ya zitto?
kaandika kitu gani kibaya acha uchochezi kijana umekosa kazi ya kufanya
Z
Kwa upinzani ni lazima tufanye tofauti na CCM.
habar jamiiforums.
Bila shaka kila mmoja wetu anajua sakata lililoko chadema kwa wakati huu, sakata hili huenda lisiishe leo,kutokana na kamati kuu ya chama kuendelea kusubiria utetezi wa watuhumiwa, lakini kinachoshangaza katika hili, ni kwanini mmoja wa watuhumiwa ambaye ni zitto, alikata rufaa kwa baraza kuu, ili hali yeye mwenyewe alishawasilisha maombi ya kuachia nafasi zote ndani ya chama? Kwa mujibu wa chadema kupitia kwa mwanasheria wake na gwiji wa sheria
mh.antipas tundu lisu.
yule hatoki mpaka aakikishe anakiua chama
Ni sawa lakini mwanasheria wake analijua hili? maana barua ya zitto ilipokelewa CC ya chama ambayo alikua akiomba kujiuzulu. lakini cc ilijua maasi yake haikumruhusu.
...
Maoni yangu.
Angekuwa mtu wa heshima na mnyenyekevu na mtii kwa viongozi wake sidhani kama angeweza kiandika ujumbe kama huo. Huyu dogo wangempiga chini tu hata chama.kikifa bora kuliko kukaa na kirusi mbaya kama huyu!
Hivi ni kwa nini Zitto anatumiaga sana fesibuku, kwanini hapendagi kuleta maoni yake kupitia jf??
Nadhani aliomba kujiuzulu kwa hamaki (alifumwa kwenye kona "unprepared"). Ila aliporudi kwa "waajiri" na "washirika" wake wakamwambia zege halilali ni lazima "agangamale potelea mbali".
Zitto hana nia njema na CHADEMA. Zitto hawezi kutufundisha demokrasia au namna ya kumpima/kumhukumu mwanasiasa yeyote yule nchini na duniani. Zitto hawezi kuaminika tena kwani alipoaminiwa kwanza yeye aligeuka na kuwa msaliti, mharibifu na ndumilakuwili.
CHADEMA naomba CC yenu, ikiwezekana Januari 2014, ikutane kujadili utetezi wa Zitto na kutoa hukumu haraka sana. Kuchelewa kwenu mnalea ugonjwa na kusababisha magonjwa nyemelezi pia kuchipuka.
Sina shaka hukumu itapasa kumvua uanachama Zitto, yaani avuliwe na afukuzwe CHADEMA.....hiyo ni pretext ya FACTS on the ground.
Ana jasho lake? My foot. Well hizo stereo-type claims zake hazina mashiko. Kama vipi atupe kiasi (quantity) na bei ya "jasho lake" tumlipe. Mpuu.zi SANA. Kila siku anajifanya ana mchango mkubwa CHADEMA, ni upi huo autaje na tuujue. Ukiondoa umaarufu aliojengewa na chama "reciprocally" mchango wake ni chini ya wastani wa mwanachadema yoyote wa kawaida.
Mitandao ya kijamii ikiwemo facebook na jamiiforums imechangia sana kukiimarisha CDM, ila tunakoelekea naonoa mitandao hiyo hiyo ndiyo inayokibomoa!
wewe huna jipya,jana umesema aliwasaliti UDSM.KIVIPI?Zitto ni sawa na gari moshi iliyokatika breki
lazima lipinduke, na kwakua hajielewi soon tunachukua na uanachama wake kuthibitisha anguko lake
hata akilijua, yeye yupo kazini.Kwa maana hio mwanasheria wake hajui hili?
uzoefu unaonyesha watu muhimu wanapotoka kwenye chama wanauwezo wa kukichachafya chama kwa kipindi fulani, kama alivyowahi kufanya sharifu hamad (zanzibar), dr.slaa na lyatonga mrema walipohama ccm katika vipindi vyao tofauti, lakini ukweli utabaki palepale kuwa mwisho wa siku MM(kama anayo hatia) ataondoka na yake na kukiacha chama kinaendelea. uamuzi mbaya ni kumwacha kiongozi anayekigawa chama kimakundi. 2015 sio mbali sana na wasipochukua hatua za kinidhamu mapema watakuja kujikuta hawana mwelekeo uchaguzi ujao.....I can assure you, it was a wrong chosen target for neutralizing Chadema. They have to go back to the draft board.
hii haiwaachi salama chaga saccos.
kwa sababu alikataliwa kujiuzulu, hivyo ameadhibiwa na ndio sababu ya rufaa kupinga adhabuhabar jamiiforums.
Bila shaka kila mmoja wetu anajua sakata lililoko chadema kwa wakati huu, sakata hili huenda lisiishe leo,kutokana na kamati kuu ya chama kuendelea kusubiria utetezi wa watuhumiwa, lakini kinachoshangaza katika hili, ni kwanini mmoja wa watuhumiwa ambaye ni zitto, alikata rufaa kwa baraza kuu, ili hali yeye mwenyewe alishawasilisha maombi ya kuachia nafasi zote ndani ya chama? Kwa mujibu wa chadema kupitia kwa mwanasheria wake na gwiji wa sheria
mh.antipas tundu lisu.