security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
Nimefuatilia sarakasi ambazo zinaendelea Chadema na kwa kiasi kikubwa nazidi kupata mawazo na mitazamo mipya kwa kadri siku zinavyokwenda kutokana na watu mbalimbali ambao ni viongozi na hata wanachama wa kawaida wa chama cha demokrasia na maendeleo wanavyozidi kufunguka juu ya maono yao na mtazamo wao halisi (si ule wa kufuta mkumbo) kuhusu uongozi wao wa juu na maamuzi yao na athari za maamuzi hayo ndani na nje ya Chama hiko.
Ndipo baada ya kutuliza akili yangu na kujikumbusha miongoni mwa yale ninayoyafahamu kuhusu migogoro, mgawanyiko na hofu za kiutawala, nikakumbuka andiko moja la aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema kwa Upande wa Bara na Mbunge wa Jimbo la Kigoma kaskazini Ndugu yangu Zitto Kabwe kuhusu hofu, hofu ambayo aliionesha waziwazi, hofu ya kuongozwa na watu dhaifu ,watu ambao hawana busara ya kutosha katika kufanya maamuzi na kuyasimamia.
Ndio kusema kwamba katika andiko lake hilo alitumia fasihi barabara katika kuwaambia watanzania kuwa yeye binafsi anahofu juu ya Viongozi wake ndani ya Chama hicho juu ya uwezo wao na busara zao za kufanya maamuzi. nitanukuu kipande cha andiko hilo hapa ili tupate mjadala makini.
Na swali hilo ambalo liko katika maandishi ya kijani ndilo swali la msingi ambalo watanzania hasa wanachama na wafuasi wa Chadema leo wanapaswa kujiuliza, kuwa busara zao zinawaongoza kupata kiongozi asiye dhaifu..???
Ndipo baada ya kutuliza akili yangu na kujikumbusha miongoni mwa yale ninayoyafahamu kuhusu migogoro, mgawanyiko na hofu za kiutawala, nikakumbuka andiko moja la aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema kwa Upande wa Bara na Mbunge wa Jimbo la Kigoma kaskazini Ndugu yangu Zitto Kabwe kuhusu hofu, hofu ambayo aliionesha waziwazi, hofu ya kuongozwa na watu dhaifu ,watu ambao hawana busara ya kutosha katika kufanya maamuzi na kuyasimamia.
Ndio kusema kwamba katika andiko lake hilo alitumia fasihi barabara katika kuwaambia watanzania kuwa yeye binafsi anahofu juu ya Viongozi wake ndani ya Chama hicho juu ya uwezo wao na busara zao za kufanya maamuzi. nitanukuu kipande cha andiko hilo hapa ili tupate mjadala makini.
THE FEAR.
Over the years, I have developed a habit of going to quiet places and reflect in solitary. This has become very important to me as I critically think and evaluate my ideas. Over and over, I find myself reflecting about my country and her future direction. I reflect on development, leadership, and politics of my country. This is mostly influenced and informed by my experience as a political leader, exposure to different places in the world, and readings. I have come to value readings and its impact on my personal development is invaluable. Previously, I used to read books that relate to politics, economics, or history. This has now changed. I have started reading novels, fictions, and philosophical books. This mixture of reading has further developed my thinking and the scope of my regular reflection.Last week, while I was in Malaysia, I had more time to reflect. It was not easy. My reflection was haunted by fear. This fear was irresistable. Most likely, the fear was set-off by a passage I read in Tom Blakes book titled Doctor M: Operation Malaysia-Conversations with Mahathir Mohamad. The passage, is quoted from Platos Republic, and it goes like this: .but accepts the responsibility of ruling because he or she cares deeply about the Republic and the people in the Republic and only takes the job for fear of being ruled by a lesser.This was almost a turning point for me. It triggered an urge in me. The urge of fear. It made vivid many fears that, I believe, were overlooked and disappeared back into the subconscious mind of mine. This pumping fear on my chest overcame and deleted all the optimism I have had about my country. Previously I used to see only a rosy picture of Tanzanias future. The fear helped me to see the reality and realised that the rosy picture was only an imagination and a wish at best.
I kept on reflecting and now the focus was on the fear. I asked myself, why fear? What is this fear about? I came up with two answers the two fears. These fears are not mutually exclusive. They relate to each other.
Fear # 1: I fear about the leadership in my country. Platos Republic rightly noted the fear of being ruled by a lesser. Looking into the pool of people who position themselves to lead us in the near future was heartbreaking and scary. Not because many people are less smart or underprepared to run our country, but enormous challenges facing the country now subjects us to a thourough critical thinking about the country and developmental leadership. I fear about getting a leader who will be lesser. Lesser with regards to enormous tasks and need for wisdom to lead this big beautiful Tanzania into a prosperous future. We are faced by many challenges that can easily reduce someone to a lesser if not wise enough. King Solomon asked for wisdom to lead the great nation. He was wise to know that the big nation can easily make him lesser. He was not stupid but he realised that being lesser is easy amidst challenges. We will need leaders who are ready to sit down, analyse the reality, and work hard. Leaders who would put selfish motives away and think of the nation. Who will not be influenced by party politics but peoples interests. A leader with a developmental mindset. Are Tanzanians wise enough to not choose a lesser?
Na swali hilo ambalo liko katika maandishi ya kijani ndilo swali la msingi ambalo watanzania hasa wanachama na wafuasi wa Chadema leo wanapaswa kujiuliza, kuwa busara zao zinawaongoza kupata kiongozi asiye dhaifu..???