Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 918
- 1,994
Zitto anaamini msanii wa Hip hop nchini kutoka Arusha, Nikki wa Pili ana maono ya masuala mbalimbali hivyo angefaa kushiriki kwenye siasa.
Mbunge huyo wa Kigoma, baada ya kusoma maoni binafsi aliyoandika msanii huyo kuhusu masuala ya uchaguzi, amemsihi aingie kwenye siasa ili asaidie kujaza ombwe la maono lililopo miongoni mwa wanasiasa nchini..
Je, Zitto anahitaji wanachama wapya wenye nguvu na ushawishi kwenye chama chake cha ACT-Wazalendo?!
Msome;
"Siasa zetu zinakosa wanasiasa wenye convictions ( sijui Kiswahili chake) kwa sababu watu kama wewe mwenye misimamo ya kiitikadi hamtaki kujiunga na vyama. Njoo tufanye kazi ngumu Lakini muhimu ya kujenga siasa zinazoondoa uhodhi kwa wanasiasa.."
Mbunge huyo wa Kigoma, baada ya kusoma maoni binafsi aliyoandika msanii huyo kuhusu masuala ya uchaguzi, amemsihi aingie kwenye siasa ili asaidie kujaza ombwe la maono lililopo miongoni mwa wanasiasa nchini..
Je, Zitto anahitaji wanachama wapya wenye nguvu na ushawishi kwenye chama chake cha ACT-Wazalendo?!
Msome;
"Siasa zetu zinakosa wanasiasa wenye convictions ( sijui Kiswahili chake) kwa sababu watu kama wewe mwenye misimamo ya kiitikadi hamtaki kujiunga na vyama. Njoo tufanye kazi ngumu Lakini muhimu ya kujenga siasa zinazoondoa uhodhi kwa wanasiasa.."