Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Kazi ya upinzani sasa ni kutetea maovu. Leo hii wapinzani wanataka wazungu waendelee kutuibia ili tu kuonesha Magufuli hawezi? Kwa kweli huu upinzani umekuwa kituko na hauna maslahi kwa nchi yetu maana haupo kusapoti maendeleo bali kukwamisha maendeleo.
Wapi katetea uovu? Ajatoa solutions hapo? Kasema asingezuia leo hii tungepata pesa ya kutengeneza icho kinu. Je hapo kuna uovu wowote uliotetewa?