Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,034
- 15,747
Your senseless arquements reflect how.....sh you are?Hivi swali la kipuuzi lililoshen wildy arrogance unataka ujibiweje
Povu la nn sasa?
Your senseless arquements reflect how.....sh you are?Hivi swali la kipuuzi lililoshen wildy arrogance unataka ujibiweje
Achana na maswali ya kitotoPovu la nn sasa?
Tunajua pressure inawapanda mpk mwisho.Nilichokiona ni Kijana Zitto Kabwe akikabidhi kadi kwa vizee vikongwe vya kike na kiume vya CUF vikiongozwa na Seif Sharif Hamad
Mimi Mmakonde mkuu.... Tusiandikie mate wakati wino upo 2020 iko hapo mbeleni....Wewe jamaa nakuambia ni kiroja na wala Zanzibar unaonesha wazi wala huijui! Huijui Zanzibar wala siasa za Zanzibar huzijui!!! Hiyo video ni mara baada ya habari kutangazwa! Hakuna amsha amsha yoyote ambayo imefanyika!!! Halafu ulivyo mtu wa ajabu, unataka kubishana hata na media house zenye waandishi wa habari kila pahala!
We jamaa utakuwa Mluguru na hata Zanzibar kwenyewe sidhani kama umeshawahi kukanyaga! Waluguru ndo wana ubishi usio na maana kama wako kwa sababu, mtu ambae ni reasonable, KATU, hawezi ku-doubt ushawishi wa Maalim ndani Zanzibar kuanzia juzi, jana hadi leo!
Halafu hiv una uelewa wowote wa kisiasa wewe?! Eti wafuasi wa Maalimu Seif mwaka 2010!! Hao wa mwaka 2010 unawapima kwa kwa kuangalia nini? Yaani unazungumzia wafuasi wakati wa kampeni za uchaguzi? Kwa mtindo huo unaweza kusema hata Lowassa hana tena wafuasi! Unaweza kusema hata Membe hana tena wafuasi, kwa sababu reference yako ni pilika pilika za wakati wa uchaguzi!
Habari mbaya ninazotaka kukupa ni kwamba! Stay tuned; manake utapata mahangaiko sana very soon!!!
Wanaotumia nguvu ni wafuasi wake... sisi tulio neutral hatutumii nguvu bali tunatizama sinema na ma actors wanavoburuzwa.Acha kutumia nguvu ndio kishasepa na kijiji chake
Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
Wamakonde na Waluguru ni mtu na mjomba ake linapokuja suala la ubishi!Mimi Mmakonde mkuu.... Tusiandikie mate wakati wino upo 2020 iko hapo mbeleni....
Pigo jengine linakuja na mtaendelea kubaki na ujuha badala kukubali ukweli....
Wamakonde na Waluguru ni mtu na mjomba ake linapokuja suala la ubishi!
Hata amsha amsha hapo bado! Mtapata taabu sana mwaka huu! Huku ACT, kule CHADEMA!
Na wewe ni mfia nini?! Au mfia Gamba?! Sasa kwa taarifa yako mimi sio shabiki kabisa wa Maalim Seif lakini hilo halinizuii kuelezea uhalisiaOkay sawa, tumewazoea wafia siasa
Tusubiri tuone
Mimi mfia uhalisia....Na wewe ni mfia nini?! Au mfia Gamba?! Sasa kwa taarifa yako mimi sio shabiki kabisa wa Maalim Seif lakini hilo halinizuii kuelezea uhalisia
Naam ... ukimwaga Ugali na mwaga MbogaMzee wa kuta nyeupe kama navyomuona alivyo-mind. Hii inaitwa kama mbwai mbwai tu
Haha haaaaaaaaMtu mzima lowasa anapokabidhiwa kadi ya chama na kijana mtoto mdogo polepole, aisee Tundu Lissu ni kiboko
Tulia dawa iwaingieNilichokiona ni Kijana Zitto Kabwe akikabidhi kadi kwa vizee vikongwe vya kike na kiume vya CUF vikiongozwa na Seif Sharif Hamad