Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
kaka una hatari,huyo zitto pichani ndo kawapiga t.jeki au??
hahahhahahha!!!! mimi hapa ndio ninapomkubaliaga mzee mzima ZITTO KABWE , Msekwa alishasoma alama za nyakati nini ,ndio maana akaipiga JF dongo sasa MZEE MZIMA ZITTO KABWE kawapiga ccm na waziri mkuu TANGANYIKA JEKI,hatoki mtu hadi kieleweke