Zitto aliwahi kufungiwa miezi minne sakata la mikataba Buzwagi

Waziri kivuli

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
2,987
3,450
Zitto Zuberi Kabwe aliwahi kufungiwa miezi minne na bunge kwa kupigia kelele mikataba mibovu ya madini hasa Buzwagi!

Wakati huo bunge lenye wabunge wengi wa CCM walimuondosha bila huruma,akaenda kufanya mikutano kuwaeleza wananchi,tukamuelewa na kumuunga mkono!

Leo watu hao hao ndio wanajifanya kujivika uzalendo na kusahau waliyotenda nyuma!

Hata vijana wa lumumba nao wanajisahaulisha na kuhamisha magoli!
 
CCM akili huwa wanakabidhi lumumba kabla ya kuingia bungeni,

Halafu wakitoka madarakani wanarudishiwa,

Thus why unaona kabisa wakitumbuliwa au kukosa ubunge wanaanza kuongea vitu vya maana.
 
Chadema hawana shida na wananchi wanajali matumbo yao tu
Nakubali 100% hawa cdm sio kabisa sijui hata ilikuaje wakatuingiza kwny mikataba ya hovyo namna hii...
wametuingiza shimon halaf leo wanajisahaulisha utumbo wao na kujifanya majasiri kupambana nayo...
Shame on you unaewaza kutumia nyapu kama jina lako lilivyo
 
Nakubali 100% hawa cdm sio kabisa sijui hata ilikuaje wakatuingiza kwny mikataba ya hovyo namna hii...
wametuingiza shimon halaf leo wanajisahaulisha utumbo wao na kujifanya majasiri kupambana nayo...
Shame on you unaewaza kutumia nyapu kama jina lako lilivyo
nimegundua watanzania wengi ni wajinga sana, hivi ni wabunge gani waliokuwa wanapiga makofi mlipokuwa mnayapitisha mamikataba ya kijinga, leo mnajisahaulisha na kusema ni chadema hivi akili zenu zina nini jamani? mpaka roho inauma kwa huu ujinga unaoendelea, mwaka jana sijui juzi mmpepitisha mikataba ya geso na mafuta kwa dhalura upinzani wanasema jamani tusome kwanza tuelewe wanawivu ipo siku akili zitarudi
 
Back
Top Bottom