unacheka cheka nini sasa we malaya wa kike?
...nimeshakureport kwa moderator!
unacheka cheka nini sasa we malaya wa kike?
Achana nae ana stress huyo.......nimeshakureport kwa moderator!
Natuma salamu za pole kwa kijana mwenzetu mheshimiwa Zitto.
Mheshimiwa kijana mwenzetu Zitito sasa anahitaji "personal trainer" wa kuhakikisha anakuwa "physically fit" na kupata muda mzuri wa kupumzika hasa pale anapojiandaa na vikao muhimu kama hiki cha madini.
Kwa kuwa bado mheshimiwa ni kijana bado ana muda wa kuweza kuepuka magonjwa ya kujitakia kama vile BP na kiharusi pamoja na "obesity".
Pia namshauri kwamba ajiunge na jarida la Men's Health ili apate subscriptions ambazo zitampa mawaidha ya namna ya kujiangalia afya yake for the rest of his life.
Haya mengine ya unga na kadhalika ni sisi kumwombe kijana mwenzetu ambae ana majukumu mazito tena ya kukabiliana na "vigogo" katika ulingo wa siasa za kiafrika.
Mheshimiwa Zitto ni vitu viwili tu vya kuangalia katika afya yako, unene na uzito!
Be specific pls!
Kwamba haimake sense kudai haki kwa MUNGU Mr Mkapa map?
Rich, kuna tofauti gani kati ya UNENE na UZITO? nilidhani hivyo havitenganishwi meaning ukiwa mnene lazima utakuwa mzito.
Unajua kwamba unaweza kuwa mnene na si mzito? Yaani una mwili umejaa lakini bado ni mwepesi au...
mungu ampuzishe kwa amani
ACHA HIZO BANA HUYU MTU NI MZIMA...!
Ni matatizo tu kidogo kama mwanadamu wa kawaida mwenye kupitia SURUBA!
SEMA MUNGU AMPONYE NA SI AMPUMZISHE!
HUU UCHURO SASA HUU!
Mambo vipi jmushi ? Habari za kwa bushi zinasema je ?
Hiyo siijui kwa kweli! naomba hiyo recipe au inapatikana wapi niitafute?