Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Kwa nini inaonekana Zitto hapati sympathy kubwa kutoka kwa wananchi (hata humu ndani JF) kutokana na kufikishwa kwake mahakamani? Hii ni dalili ya kuwa nyota yange yaanza kufifia kutokana na kauli zake za utata za hivi karibuni?
Jee wanaChadema in particular wameanza kum-shiti na kuamini ni kweli anatumiwa na watu wanaotaka chama hicho kivurugike?
Tusisahau kwamba nyota ya kijana huyu iling'aa sana baada ya kutimuliwa Bungeni mwaka 2006 kuhusu suala la Buzwagi. Inawezekana alijisikia sana na hivyo kuanza kufikiria makubwa na kutaka kupiga hatua kubwa kuliko uwezo wake?