Zitto akiisifia Serikali msaliti, Mbowe akiisifia Serikali mkomavu wa siasa

JINOME

JF-Expert Member
May 29, 2017
958
1,424
IMG-20170724-WA0051.jpg

IMG-20170724-WA0052.jpg
 
Yaani na wewe unamlinganisha Zito na Mbowe?
Mbowe ndiye alimfanya Zito awe kwenye siasa za Tanzania. Sasa huyo Zito kuna nn cha maana amefanya cha kumlinganisha na Mbowe.

Zito badala ya kulea wanasiasa kama Mbowe alivyomlea anakazana kuwapoteza wenzake tu kama kina Machange. Zito ni empty tin
 
Ni mwendawazimu tu atakayekashifu ziara ya rais jimboni kwake na kuzindua miradi. Nakumbuka hata Mbowe alishamsifia sana Magufuli wakati akiwa Waziri wa Ujenzi alipotembelea jimbo la hai. Hata Magufuli alimpongea Mbowe. Hiyo ndiyo siasa siyo mayoye kama ya akina Lissu na Mdee
 
Kauli kama hii hutolewa na aliyeishiwa hoja kama wewe.
Wanaopenda "blanket statement" ni wale wasiokuwa objective. Wanaamini kuwa mtu au kitu kinaweza kuwa sahihi muda wote na katika kila namna. Hawaamini kuwa mtu anaweza kuwa sawa muda huu na baadaye au kesho akatenda jambo baya. Wanaamini mtu ana uwezo wa kuwa "mwema" kwa kila jambo.

Watu hao ni kama ninyi na Mfalme wenu asiyepangiwa. Hamuamini kama anaweza kukosea.

Mimi naamini kuisifia serikali na kumsifia kiongozi inawezekana maana lazima yapo mazuri ya kusifiwa. Hali kadhalika yapo MABAYA yasiyostahili kusifiwa, bali kukosolewa hata "kupondwa" kabisa. Na kwa mantiki hiyo, yeyote anayesifia, awe Mbowe, Lissu, Zitto, au hata wewe lazima mwenye akili timamu za kawaida kabisa ajiulize, "je hizi sifa zilistahili mahali hapa au la"?

Bahati mbaya, wewe inawezekana si miongoni mwa hao wenye uwezo wa kujizuia na kujiuliza swali hilo, and that's a pity.
 
Yaani na wewe unamlinganisha Zito na Mbowe?
Mbowe ndiye alimfanya Zito kwenye siasa za Tanzanai. Sasa huyo Zito kuna nn cha maana amefanya cha kumlinganisha na Mbowe.

Zito badala ya kulea wanasiasa kama Mbowe alivyomlea anakazana kuwapoteza wenzake tu kama kina Machange. Zito ni empty tin
HUO ndiyo ujinga mwingine mnaouendeka vijana wa BAVICHA , eti kwa sababu Mbowe alimfundisha siasa Zitto, basi atamzidi kila siku. Na mwalimu wa CHATO aliyemfundisha Magufuli maye yuko juu kuliko Magufuli? Nyie akili zenu mnazijua wenyewe na vilaza wenu wa UFIPA
 
Ni mwendawazimu tu atakayekashifu ziara ya rais jimboni kwake na kuzindua miradi. Nakumbuka hata Mbowe alishamsifia sana Magufuli wakati akiwa Waziri wa Ujenzi alipotembelea jimbo la hai. Hata Magufuli alimpongea Mbowe. Hiyo ndiyo siasa siyo mayoye kama ya akina Lissu na Mdee
Kwa nini Magufuli sasa hivi hampongezi Mbowe, can you tell?
 
Wanaopenda "blanket statement" ni wale wasiokuwa objective. Wanaamini kuwa mtu au kitu kinaweza kuwa sahihi muda wote na katika kila namna. Hawaamini kuwa mtu anaweza kuwa sawa muda huu na baadaye au kesho akatenda jambo baya. Wanaamini mtu ana uwezo wa kuwa "mwema" kwa kila jambo.

Watu hao ni kama ninyi na Mfalme wenu asiyepangiwa. Hamuamini kama anaweza kukosea.

Mimi naamini kuisifia serikali na kumsifia kiongozi inawezekana maana lazima yapo mazuri ya kusifiwa. Hali kadhalika yapo MABAYA yasiyostahili kusifiwa, bali kukosolewa hata "kupondwa" kabisa. Na kwa mantiki hiyo, yeyote anayesifia, awe Mbowe, Lissu, Zitto, au hata wewe lazima mwenye akili timamu za kawaida kabisa ajiulize, "je hizi sifa zilistahili mahali hapa au la"?

Bahati mbaya, wewe inawezekana si miongoni mwa hao wenye uwezo wa kujizuia na kujiuliza swali hilo, and that's a pity.
Maneno mengi ulichokiandika hakina uhusiano wowote na mada iliyopo. Baada ya Viroba kupigwa marufuku Vijana wa BVICHA mmepata arosto vichwani wenu.
 
Yaani na wewe unamlinganisha Zito na Mbowe?
Mbowe ndiye alimfanya Zito kwenye siasa za Tanzanai. Sasa huyo Zito kuna nn cha maana amefanya cha kumlinganisha na Mbowe.

Zito badala ya kulea wanasiasa kama Mbowe alivyomlea anakazana kuwapoteza wenzake tu kama kina Machange. Zito ni empty tin
Zitto ni mbowe watano.
 
lakini alie mdhihaki mbunge wa upinzani kuwa hatawaletea wapiga kura wake maji tena kwa kipindi cha mwaka na nusu kama sio miaka miwili akasahau yeye alikaa jimboni miaka ishirini mpaka kupata nafasi ya uwaziri lakini alishindwa kuvuta maji kuwasogezea wananchi wake walio mita chache toka ziwa lilipo ...!!tatizo la wanaccm kwasasa ni mentor disturbance kwa uozo mlioufanya miaka na miaka sasa kila mnapojaribu kugusa kujisafisha ndio mnazidi kujichafua kwa kinyesi chenu wenyewe
 
Maneno mengi ulichokiandika hakina uhusiano wowote na mada iliyopo. Baada ya Viroba kupigwa marufuku Vijana wa BVICHA mmepata arosto vichwani wenu.
je we ulichokiandika hapa kina husiana vipi na ilichopo jukwaani
 
Ampongeze kwa lipi? Wamekutana wapi? Kwani Zitto amempongezea ikulu? Pongezi haiombwi. Shirikisha ubongo wako kabla hujainua vidole kuandika.
Mwenye ubongo huyo!!
Huwezi hata kutafakari kwa nini swali limeulizwa hivyo lilivyoulizwa. Pure LMB mind.
 
Mayor na Mbunge wa Chadema Moshi Mjini walizuiwa Getini kuingia kwny Hafla ya Rais Moshi lakin hawakuitwa Wasaliti kwa kulalamika kuzuiwa kwenda kwny hafla ya Rais
Ingekuwa Zitto ndie alilia Mwaliko wa Rais Sijui ingekuaje Kelele za Nyumbu?

Rais alipokuwa Bukoba Ziarani Mh. Wilfred Lwakatare nae alikuwa Kama Zitto kumuunga Mkono Rais, Mh. Waziri Mkuu alipotembelea Arusha Wabunge wa Chadema wakiongozwa na Joshua Nassari walishiriki Mwanzo Mwisho Ziara hiyo japo Muda huo Mbunge Mwenzao wa Arusha Mjini Godbless Lema alikuwa Mahabusu bila ya dhamana kwa Miezi minne

Tatizo la Chadema ni kulilia Demokrasia kwa Magufuli wakati wao hawaamini katika Demokrasia kwa Watu wengine, wanataka wao ndio wawe waamuzi wa Uhalali na uharamu wa Kila Kitu

Wiki iliyopita nilikuwa nasoma kwny Account ya Instagram ya Mh.Mayor wa Ubungo Chadema Mstahiki Boniface akipongeza na kushukuru kwa Ziara ya Mh. Waziri wa Utumishi Angela Kairuki kwny Manispaa japo huwa wanamnanga Mh. Kairuki
 
Back
Top Bottom