HIMO ONE
Senior Member
- Sep 6, 2010
- 128
- 7
Zito kabwe mbunge mteuliwa wa kigoma kaskazini alikuwa kigoma mjini kumtetea mgombea mwenzake wa chadema huko kigoma mjini ambapo jimbo hilo lina utata na kuna dalili kuwa ccm wanataka kuchakachua kura za chadema.kundi la polisi limewavamia na kumpiga zito na kumuumiza
source channel ten kama dkk 2 zilizopita wametangaza
source channel ten kama dkk 2 zilizopita wametangaza