kifaulongo
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 1,030
- 450
Mtu mzima hatishiwi nyau!! kesho mkaweke kwenye magazeti yenu... hatundanganyiki,
Tumekusikia mfuasi wa Zitto.hiyo ziara ina maana gan? Kataeni wanakigoma mpaka haya maamuzi ya kijuha waliyofikia akina chadema family yarekebishwe
Mawazo ya msukumo wa BANGI!Ni mpuuzi tu kama Lema ndo anaweza kufikiria ziara ya Kigoma kwa hali ilivyo sasa
Sijui nani ni mshauri wa Dr Slaa siku hizi au ndo anaongozwa na chuki zidi ya Mh Zitto?
Hili mshalikoroga!
Sent from BlackBerry 9520
Jiungeni na CHAMA CHA KIGOMA CHAUMMA mnalia lia nini? ZITTO na Kafulila walishaanzisha CHAMA na kumpa Mkigoma Mwenzao si mjiunge?!! Ili muone kuwa kwa unafiki wenu kinaishia KIGOMA?Hicho ni chama cha wachaga mdhamini Mtei Mkiti mkwewe mwekahazina mkwewe Mbowe ambaye ni mwanae Mtei chama au kampuni
Mnaanzisha cha nini? CHAUMMA haiwatoshi? Zitto na Kafulila Wameanzisha Chaumma na kumpa uenyekiti mzee Hashim Rungwe.Hapa ni kuanzisha chama kipya, CHAMA CHA DEMOKRASIA HALISI-CHADEHA
Mnaanzisha cha nini? CHAUMMA haiwatoshi? Zitto na Kafulila Wameanzisha Chaumma na kumpa uenyekiti mzee Hashim Rungwe.
CCM inapokuwa na jukumu la kuratibu matamko ya CHADEMA kwenye vyombo vya habari ......
Mbunge Mansoor wa Kiembe samaki alifukuzwa eti kaijadili rasimu ya katiba kwa uwazi.......nawe huna hoja, umeshindwa kumng'oa Spika mpaka leo , unafiki tu umekujaaa.....eti Mtwara apelekwe RC Muislamu.....Shame........CCM haikuhusika na ugomvi wenu - hayo ni makambi yenu wenyewe tu huko, na sisi huku tunayo ya kwetu, yanatutosha! Nyie shughulikeni na makambi yenu na mikakati yenu ya kufukuzana ama kung'oana vyeo, sisi tuacheni na ya kwetu! Hayo maugomvi ya kwenye chama chenu ni ya kwenu, mmeyakoroga wenyewe, yanyweni sasa! Msitafute mchawi katika CCM. CCM ihangaike na nyie kwa sababu gani jamani? Chama chenu ni kitoto sana ukilinganisha na CCM lakini kimejaa 'uhafidhina' mkali kuliko baba ambaye amejaa uvumilivu na udemokrasia...
Ushauri wa bure: jifunzeni kuvumilia 'opposition', ndiyo afya ya taasisi. Tena kwa watu wenye hekima nyingi sana, wao wangependa zaidi kupingwa ili wajifunze mbinu mpya za kuhudumia umma na siyo kuwachukia wanaowapinga. Watu wenye hekima nyingi sana watasikia kwa umakini zaidi sauti za wachache wenye kushambuliwa kuliko za wengi waliokubaliana kuwasulubu wanyonge wachache...Msipoufanyia kazi ushauri huu, msishangae kukiua chama chenu kabla hata hakijakomaa.
Regards,
HK.