Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,761
- 71,145
Nilimsikiliza Lissu akizungumzia swala hilo,hakuzungumza kuhusu kumfukuza yeyote Chamani ila alizungumzia kutaka maelezo ya utoro Bungeni toka kwa wabunge hao waliokosekana siku ile akiwemo Zitto. Hata hivyo alimtaja Zitoo kwa nafasi yake kama kiongozi msaidizi wa kambi ya upinzani Bungeni.
Dalili nikuwa kama maelezo yake hayataridhisha anaweza kupoteza wadhifa huo wa msaidizi wa kiongozi wa upinzani.
Dalili nikuwa kama maelezo yake hayataridhisha anaweza kupoteza wadhifa huo wa msaidizi wa kiongozi wa upinzani.