Wandugu,
Sinauzoefu sana na mambo ya siasa, ila kwa mwenendo wa huyu kijana mwenzetu Zitto kabwe inanipa mashaka...Kwa kweli anaonekana kuwa msaliti wa chama chake cha Chadema kwa kujipendekeza kwa chama tawala. haiingii akilini kusema yeye awe na ukaribu zaidi na kuona yanayofanywa na chama tawala kwa sasa ni bora na yamefanyika mengi...Wapi yule Kabwe wakutetea haki za wanyonge?
TETESI: (chanzo mitaani na kwa wachambuzi tofauti) Amenunuliwa na Serikali ya Jei kei kwa kuahidiwa mustakabali mnono wa maisha, alichoombwa ni afanye mbinu ya kuhamia NCCR na agombee uraisi kwa mwaka 2015 ili kuzigawa kura za CHADEMA
Zitto ni kijana anaekubalika, akitangaza uraisi wengi watamfuata na kuzigawa kura za chama machachari kinachoisumbua kichwa CCM.
WanaJF hili limekaaje jamani?
Nadhani ni mapema sana kuanza kuzungumzia CHADEMA kumtimua/kumsimamisha uanachama Zitto. Hiyo itakuwa ni extreme decision na hata mimi nisingependa kuona jambo hilo linatokea. Kinachotakiwa kufanywa hapa ni uongozi wa CHADEMA kumuandikia Zitto barua kumtaka atoe maelezo kuhusu mwenendo wake. Napendekeza hatua zifuatazo zichukuliwe:
(i) Kama Zitto ataonesha uungwana na kukiri makosa yake, basi chama kimpe STERN WARNING kwa kutoa siri za vikao vya chama, kupingana na maamuzi rasmi ya chama na kutoa matamshi hovyo kwa media. Baada ya warning aachiwe aendelee na nafasi zake zote za uongozi wa chama.
(ii) Kama akileta dherewu kwa viongozi wa chama na kukataa kukubali makosa yake, asifukuzwe uanachama. Avuliwe uongozi kama naibu katibu mkuu wa CHADEMA na aendelee kuwa mwanachama na mbunge.
Dawa ya yote ni Zitto kunyamaza kimya bila kulia nyau watu wanasema Silence it pays,CDm pia wangesolve hii issue yao katikaa vikao vyao vya ndani magazeti hayatasaidia zaidi yakuchanganya wananchi
True now more than never, we need to be carefull there is a lot of kupakana matope...... going on... For whose benefit I dont know, but for sure its not for Tanzanians, Lots of unansweared questions....Mimi bado siamini lolote linaongelewa dhidi ya CHADEMA na ZITO.