Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe aeleza mbinu zitakazotumiwa na chama hicho kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Halmashauri kuu ya chama hicho leo (jana) tarehe 29, Septemba 2019, amesema kuwa Serikali ya CCM kwa kipindi cha miaka minne hakikukidhi matakwa ya wananchi hususani katika uchumi.
“Uchaguzi wowote huhusu mambo ambayo yapo juu …unahusu mambo ambayo yapo chini...
wao wakija juu na ndege zao nyie nendeni chini na njaa za wananchi ambayo imesababishwa na sera za CCM,
Wakija juu na Reli zao nyie nende chini na hali ya elimu katika maeneo yao,
wakija juu na ‘stieglers gorge’ nyie nendeni chini kuangalia maelfu ya vijana ambao hawana ajira wanateseka,
wakija juu na lolote lao nyie angalie yanayowagusa wanachi moja kwa moja,” amesema Zitto.
Amesema kuwa ni watanzania wachache wanaoamini katika maendeleo ya vitu baadala ya watu kwa kuwa watu hawawezi kufanya shughuli za uchumi.
“Ni asilimia tano (5%) pekee ya Watanzania wanaopanda ndege, acheni wapigiwe kura na hiyo asilimia tano …hata hiyo tano hawatakuwa nayo yote, mimi napanda ndege na sitawapigia kura,” anesema Zitto.
Amewataka wanachama wa chama hiko kuwaendea wananchi na kuwapigania juu ya masuala yanayogusa maisha yao moja kwa moja ndipo watakapoeleweka.
Amesema kuwa ni watanzania wachache wanaoamini katika maendeleo ya vitu baadala ya watu kwa kuwa watu hawawezi kufanya shughuli za uchumi.
“Ni asilimia tano pekee ya Watanzania wanaopanda ndege acheni wapigiwe kura na hiyo asilimia tano …hata hiyo tano hawatakuwa nayo yote mimi napanda ndege na sitawapigia kura,” anesema Zitto.
Amewataka wanachama wa chama hicho kuwaendea wananchi na kuwapigania juu ya masuala yanayogusa maisha yao moja kwa moja ndipo watakapoeleweka.
-------
Je, CCM bila Polisi, Wakurugenzi na NEC watatoboa?
Akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Halmashauri kuu ya chama hicho leo (jana) tarehe 29, Septemba 2019, amesema kuwa Serikali ya CCM kwa kipindi cha miaka minne hakikukidhi matakwa ya wananchi hususani katika uchumi.
“Uchaguzi wowote huhusu mambo ambayo yapo juu …unahusu mambo ambayo yapo chini...
wao wakija juu na ndege zao nyie nendeni chini na njaa za wananchi ambayo imesababishwa na sera za CCM,
Wakija juu na Reli zao nyie nende chini na hali ya elimu katika maeneo yao,
wakija juu na ‘stieglers gorge’ nyie nendeni chini kuangalia maelfu ya vijana ambao hawana ajira wanateseka,
wakija juu na lolote lao nyie angalie yanayowagusa wanachi moja kwa moja,” amesema Zitto.
Amesema kuwa ni watanzania wachache wanaoamini katika maendeleo ya vitu baadala ya watu kwa kuwa watu hawawezi kufanya shughuli za uchumi.
“Ni asilimia tano (5%) pekee ya Watanzania wanaopanda ndege, acheni wapigiwe kura na hiyo asilimia tano …hata hiyo tano hawatakuwa nayo yote, mimi napanda ndege na sitawapigia kura,” anesema Zitto.
Amewataka wanachama wa chama hiko kuwaendea wananchi na kuwapigania juu ya masuala yanayogusa maisha yao moja kwa moja ndipo watakapoeleweka.
Amesema kuwa ni watanzania wachache wanaoamini katika maendeleo ya vitu baadala ya watu kwa kuwa watu hawawezi kufanya shughuli za uchumi.
“Ni asilimia tano pekee ya Watanzania wanaopanda ndege acheni wapigiwe kura na hiyo asilimia tano …hata hiyo tano hawatakuwa nayo yote mimi napanda ndege na sitawapigia kura,” anesema Zitto.
Amewataka wanachama wa chama hicho kuwaendea wananchi na kuwapigania juu ya masuala yanayogusa maisha yao moja kwa moja ndipo watakapoeleweka.
-------
Je, CCM bila Polisi, Wakurugenzi na NEC watatoboa?