Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Hahah hako kajamaa ni comedy sana
Unaweza kusema ni mtu makini kumbe walewale
Unaweza kusema ni mtu makini kumbe walewale
Ukifuata siasa za mtandaoni utachanganyikiwa kama Ruyagwa.
Endelea kuota, sina tatizo na hilo.Huko nje ndio huko rais anatumia madaraka yake kuagiza vyombo viwahujumu wapinzani, na kwenye box la kura tunaona uhayawani wa wazi dhidi ya wapinzani ili ccm watangazwe washindi. Kwa maneno marahisi ccm haiko madarakani kwa ridhaa ya wananchi bali kwa mabavu ya vyombo vya dola.
Endelea kuota, sina tatizo na hilo.
Unangoja nini sasa?Siku watu wataingia mtaani ndio utagundua uwoga mbele ya haki una mwisho.
Unangoja nini sasa?
Hadi utakufa.Wakati muafaka.
Mmoja, kuna uhusiano gani na uchaguzi Wa mwakani na matokeo yake?act kina Wabunge wangapi Bungeni?
Mmoja, kuna uhusiano gani na uchaguzi Wa mwakani na matokeo yake?
Duh! Dunia ina maajabu, Mbunge ambaye Chama chake kina Mbunge mmoja anaongelea kukiondoa Madarakani Chama chenye Wabunge zaidi ya 200? Hivi tofauti ya Zito Kabwe na act yake na Cheyo na UDP yake ni ipi? Mimi nafikiri angejali kwanza kutetea kiti chake cha Ubunge kwa maana hata kama atarudi Bungeni, sijui.
Inadaiwa kwamba hivi sasa makusanyo ya kodi ni makubwa kuliko hapo kabla, lakini jambo la kushangaza kwenye hospitali kubwa za Serikali tunalazimishwa kulipia huduma pamoja maiti wetu.
Kwakweli katika hilo ni lazima tuelewane
Is Zitto a true opposition leader ?
Hata Pogba ndio wale waleAtakapokuwa really nijulishe nimuunge mkono...
hadi sasa ni mjasiliamali wa kisiasa