Chadema ndio madalali,mmepokea dola 100,000 kutoka open society ya kenya kwaajili ya kugharamia kesi ya Mbowe,ndio maana hamtaki kesi ifutwe maana kesi kwenu ni ulaji
Kwani aliyemfungulia kesi ya ugaidi Mbowe ni chadema?Chadema ndio madalali,mmepokea dola 100,000 kutoka open society ya kenya kwaajili ya kugharamia kesi ya Mbowe,ndio maana hamtaki kesi ifutwe maana kesi kwenu ni ulaji
Mnashindwa nini kuifuta kesi hiyo ya michongo kama mnaumia chadema kupata fedha hizo za kuendeshea kesi?
Mbowe na familia yake walikwisha toa kauli hadharani kuwa hawataomba msamaha,sasa ni kwa nini mnalazimisha mtu awaombe msamaha ikiwa kesi hiyo inaelekea ukingoni? Si mmwache afungwe kama mlivyo dhamira ili mfurahi.
Ni vema ungelificha ujinga wako huu maana sasa huu ni mpumbavu.