Zitto acha siasa nyepesi kuna ubaya gani Wakala wa ndege za Serikali ukihamishiwa Ofisi ya Rais?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,914
141,863
Nimemsikiliza kwa makini mbunge wa Kigoma mjini wakati akichangia hotuba ya Ofisi ya Rais Utawala bora.

Ameongea mambo matatu mosi habari ya Vodacom na DPP ile iliyomvutia Dr Albert Msando.

Pili akaongelea taarifa " alizonazo" juu ya mahesabu ya Takukuru kutokaguliwa na mkaguzi yoyote kwa takribani miaka nane sasa.

Na tatu akazungumzia Wakala wa ndege za serikali kuhamishiwa Ofisi ya Rais kutoka Wizara ya ujenzi.

Zitto anasema si sahihi wakala huyo kuhamishiwa OR na hapo ndipo ninapopingana naye. Kwa uwekezaji mkubwa na wa kihistoria uliofanywa kwa wakala huo ni sawa kabisa uhamisho uliofanyika.

Pale Ikulu kuna usalama wa uhakika wa rasilimali zetu na ni vema kabisa taasisi ya Rais ikawa inapata taarifa za moja kwa moja kuhusu uwekezaji wa nchi kwenye ATCL.

Niendelee kuwatakia kwaresma yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
 
Tatizo wewe huna unalokubali, nikupinga tu. Kwani uwekezaji ulifanywa na ikulu ni hela za mtu binafsi? Eti unamuita Dr Msando ndio anavyokuongopea? Tafuta kazi ndugu yangu acha kujizalilisha kwa kuwasujudia watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto afanye utafiti mdogo duniani kote, Wakala kama huo ndege za serikali uko chini ya Rais moja kwa moja au Wizara..

Jibu ni rahisi: Wakala kama huo duniani kote uko chini ya Ofisi ya Rais, yaani Ikulu moja kwa moja, nenda Kenya, Uganda, Rwanda, UK, USA ( Air Force One) huo ni wakala kazi yake kubwa ni kumbeba mkuu wa nchi na viongozi wa juu serikalini.. Hivyo ni makosa ilikuwa chini ya wizara, zamani ilikuwa Ikulu, hivyo imerudi sehemu sahihi.. Pili wakala huo sasa umepata jukumu lingine kuu, kununua ndege mpya na kuikodishia na kuisimamia atcl, kuhakikisha inapata faida ktk uwekezaji mkubwa mh. Rais alioufanya, hivyo ni sahihi kabisa wakala huo kuwa chini ya Ofisi ya Rais.. Yaani ndio kwake kabisa huko..
 
Nimemsikiliza kwa makini mbunge wa Kigoma mjini wakati akichangia hotuba ya Ofisi ya Rais Utawala bora.

Ameongea mambo matatu mosi habari ya Vodacom na DPP ile iliyomvutia Dr Albert Msando.

Pili akaongelea taarifa " alizonazo" juu ya mahesabu ya Takukuru kutokaguliwa na mkaguzi yoyote kwa takribani miaka nane sasa.

Na tatu akazungumzia Wakala wa ndege za serikali kuhamishiwa Ofisi ya Rais kutoka Wizara ya ujenzi.

Zitto anasema si sahihi wakala huyo kuhamishiwa OR na hapo ndipo ninapopingana naye. Kwa uwekezaji mkubwa na wa kihistoria uliofanywa kwa wakala huo ni sawa kabisa uhamisho uliofanyika.

Pale Ikulu kuna usalama wa uhakika wa rasilimali zetu na ni vema kabisa taasisi ya Rais ikawa inapata taarifa za moja kwa moja kuhusu uwekezaji wa nchi kwenye ATCL.

Niendelee kuwatakia kwaresma yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
Kwani lazima umpinge? hayo ni mawazo yake na wewe toa yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba kwake ndo hujuma hamna. Chakufurahisha uongo wotee wafaida itokanayo na shirika la ndege umewekwa sebuleni,


Nimawazo tenge kutegemea kila jambo ili linyooke basi sharti liwe chini ya ofisi ya raisi.
Anataka liachwe kona waweze Fanya hujuma zao za kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app

USOGA WI KUA KATI MWINA NSONGOO
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimemsikiliza kwa makini mbunge wa Kigoma mjini wakati akichangia hotuba ya Ofisi ya Rais Utawala bora.

Ameongea mambo matatu mosi habari ya Vodacom na DPP ile iliyomvutia Dr Albert Msando.

Pili akaongelea taarifa " alizonazo" juu ya mahesabu ya Takukuru kutokaguliwa na mkaguzi yoyote kwa takribani miaka nane sasa.

Na tatu akazungumzia Wakala wa ndege za serikali kuhamishiwa Ofisi ya Rais kutoka Wizara ya ujenzi.

Zitto anasema si sahihi wakala huyo kuhamishiwa OR na hapo ndipo ninapopingana naye. Kwa uwekezaji mkubwa na wa kihistoria uliofanywa kwa wakala huo ni sawa kabisa uhamisho uliofanyika.

Pale Ikulu kuna usalama wa uhakika wa rasilimali zetu na ni vema kabisa taasisi ya Rais ikawa inapata taarifa za moja kwa moja kuhusu uwekezaji wa nchi kwenye ATCL.

Niendelee kuwatakia kwaresma yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
Kwani una mawazo zaidi ya ndiooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo Salary Slip
 
Zitto afanye utafiti mdogo duniani kote, Wakala kama huo ndege za serikali uko chini ya Rais moja kwa moja au Wizara..

Jibu ni rahisi: Wakala kama huo duniani kote uko chini ya Ofisi ya Rais, yaani Ikulu moja kwa moja, nenda Kenya, Uganda, Rwanda, UK, USA ( Air Force One) huo ni wakala kazi yake kubwa ni kumbeba mkuu wa nchi na viongozi wa juu serikalini.. Hivyo ni makosa ilikuwa chini ya wizara, zamani ilikuwa Ikulu, hivyo imerudi sehemu sahihi.. Pili wakala huo sasa umepata jukumu lingine kuu, kununua ndege mpya na kuikodishia na kuisimamia atcl, kuhakikisha inapata faida ktk uwekezaji mkubwa mh. Rais alioufanya, hivyo ni sahihi kabisa wakala huo kuwa chini ya Ofisi ya Rais.. Yaani ndio kwake kabisa huko..
Unajua hata maana ya air force one?
 
Back
Top Bottom