King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,614
Zitto bwana akihishiwa hela tu anaanza ngonjera zake ili ale rushwa hana lolote........kama majina unayo kwanini usiweke? Mpe Lema basi kama unaogopa!!
Alishaahidi kitambo saana kuwataja, nadhani muda ulikuwa bado. Pia imeytusaidia kutambua jinsi ambavyo watu wanaweza kuungana na adui yao kisa chuki tu. Miaka yote Chadema imekuwa iko pamoja kwenye suala la fedha zilizofichwa nje ya nchi, ila baada ya hili, tumejikuta njia moja na CCM!!
Kwani anayetuhumiwa ni Zitto au Chadema??? nani katika Chadema anaemuzwa na hili?? Nani kasimama naye hata pale alipotuhumiwa wazi wazi Bungeni?? Nimewaona akina Msigwa wakisherehekea kwa Zitto kusemwa vibaya na AG!! Ndio hao unaowataka ashirikiane nao?? Kuwa mkeli kaka, wengine wote ni wanasiasa wa matukio. Bora asimame pekee hata kufa kwenye ukweli. Si lazima uungwe mkono na wasiopenda kweli!!
Anaenda kuzungumzia bungeni ili awe na kinga ...azungumze hadharani kama wenzie walivyotaja list of shame pale Mwembe yanga . Zitto acha Comedy
Ngoja tuone kwa maelezo ya makala hii si zitto anasema AG ni muongo, labda na hicho kiapo ni fekiHivi waswahili mnajua maana ya kiapo cha kisheria?
Acheni kubebewa akili, nawahakikishia kwamjibu wa kiapo cha Zitto kilichopo kisheria, hata leo hii akaamua kutaja kinachoitwa majina na akaunti za watanzania waliohifadhi fedha Uswisi na kwingineko, serikali haitashugulikia majina hayo, zaidi atakuwa anajifurahisha tu Zitto,
Kibaya zaidi nikuwa sasa Zitto atafikishwa mahakamani kwa yeye kumtaja binadamu yeyote katika jamhuri ya Wadanganyika,
Zitto anahitaji mshauri makini, hawa vichwa maji akina Msando watasababishwa apotee kabisa kisia na kimaisha,
Ngoja tuone kwa maelezo ya makala hii si zitto anasema AG ni muongo, labda na hicho kiapo ni feki
teh teh, wewe kweli mipango mingi, kwa hiyo kila kinachosemwa na werema ni uwongo? Acheni huo upuuzi, sio kila kinachofanywa na ccm ni uwongo.