Zitto: 75% ya Makusanyo ya Kodi ya Mapato inatoka kwa Wafayakazi na 25% inatoka kwa Waajiri.

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
mwaka 2016/17 Wafanyakazi wote wa sekta ya Umma na Sekta Binafsi walichangia jumla ya shilingi trilioni 3 kwenye mapato yote ya Serikali kulinganisha na Wenye mitaji ambao watachangia jumla ya shilingi bilioni 900 tu kutoka kwenye kodi za faida/gawio, ongezeko la mitaji na riba (taxes on income/interests, profits and capital gains ). Kwa hiyo 75% ya Makusanyo ya Kodi ya Mapato inatoka kwa Wafayakazi na 25% inatoka kwa Waajiri.

TUCTA inapaswa kutumia takwimu kujenga hoja za kutaka nyongeza za mishahara na kupunguza makato ya Kodi, Hifadhi ya Jamii na hili la 15% ya Bodi ya Mikopo
 
Zitto anachekesha kwa hili amebuma, Hii nchi inaendeshwa na kama makampuni 40 ukitoa ya madini na yote yapo DSM

Kodi za kawaida na wafanyabiashara wengine kariakoo na mikoani wanachangia kidogo Sana sana

Muda umebana naogopa kudisclose Siri hapa mambo mengi ya kodi hii nchi watu wanachanganya Sana wanafikiria nchi inaongozwa na kodi za hawa wafanyabiashara wa kati sio kweli

TBL hata Bakheresa bado hawahesabiki kama makampuni yanayochangia Sana

Baharesa ana multiple Products line tu

Nitaleta uzi mazingira yakiruhu maana ile hack ya siku ile unaogopa mtandao ulipotea

Zito hamna kitu kwa hili nampinga
 
mwaka 2016/17 Wafanyakazi wote wa sekta ya Umma na Sekta Binafsi walichangia jumla ya shilingi trilioni 3 kwenye mapato yote ya Serikali kulinganisha na Wenye mitaji ambao watachangia jumla ya shilingi bilioni 900 tu kutoka kwenye kodi za faida/gawio, ongezeko la mitaji na riba (taxes on income/interests, profits and capital gains ). Kwa hiyo 75% ya Makusanyo ya Kodi ya Mapato inatoka kwa Wafayakazi na 25% inatoka kwa Waajiri.

TUCTA inapaswa kutumia takwimu kujenga hoja za kutaka nyongeza za mishahara na kupunguza makato ya Kodi, Hifadhi ya Jamii na hili la 15% ya Bodi ya Mikopo

Duniani kote mfumo ni ileile ,Zito unapotaka kusukuma kitu ,wakati huo huo unataka nchi isonge mbele Toa mbadala wake.....
unaongea sana bila uhalisia.
 
Huyu nae..
Haya wadanganyika endeleeni sasa na hili kulijadili.. maana anawajua haswa haswa.. na anawashwawashwa.. akijua mtampa kiki..
 
mwaka 2016/17 Wafanyakazi wote wa sekta ya Umma na Sekta Binafsi walichangia jumla ya shilingi trilioni 3 kwenye mapato yote ya Serikali kulinganisha na Wenye mitaji ambao watachangia jumla ya shilingi bilioni 900 tu kutoka kwenye kodi za faida/gawio, ongezeko la mitaji na riba (taxes on income/interests, profits and capital gains ). Kwa hiyo 75% ya Makusanyo ya Kodi ya Mapato inatoka kwa Wafayakazi na 25% inatoka kwa Waajiri.

TUCTA inapaswa kutumia takwimu kujenga hoja za kutaka nyongeza za mishahara na kupunguza makato ya Kodi, Hifadhi ya Jamii na hili la 15% ya Bodi ya Mikopo
Zitto kama mange sasa...kama ni hivyo basi ukiongeza mishahara tu serikali haiwezi kufanya maendeleo.Anasema serikali haina mapato halafu anasema matrilioni hayaonekani.Ana kipaji cha ujinga!
 
mwaka 2016/17 Wafanyakazi wote wa sekta ya Umma na Sekta Binafsi walichangia jumla ya shilingi trilioni 3 kwenye mapato yote ya Serikali kulinganisha na Wenye mitaji ambao watachangia jumla ya shilingi bilioni 900 tu kutoka kwenye kodi za faida/gawio, ongezeko la mitaji na riba (taxes on income/interests, profits and capital gains ). Kwa hiyo 75% ya Makusanyo ya Kodi ya Mapato inatoka kwa Wafayakazi na 25% inatoka kwa Waajiri.

TUCTA inapaswa kutumia takwimu kujenga hoja za kutaka nyongeza za mishahara na kupunguza makato ya Kodi, Hifadhi ya Jamii na hili la 15% ya Bodi ya Mikopo
Zitto kama mange sasa...kama ni hivyo basi ukiongeza mishahara tu serikali haiwezi kufanya maendeleo.Anasema serikali haina mapato halafu anasema matrilioni hayaonekani.Ana kipaji cha ujinga!
 
Zitto anaongea kwa kutumia takwimu za serikali; ukaguzi wa CAG.

Sasa unapobisha hoja yake weka na minofu....vinginevyo ni upayukaji kama upayukaji mwingine tu.
Zitto anabakia kuwa sahihi - so far hakuna mtu katoa jibu kwa hoja yake iliyopo mezani.
 
Zitto anachekesha kwa hili amebuma, Hii nchi inaendeshwa na kama makampuni 40 ukitoa ya madini na yote yapo DSM

Kodi za kawaida na wafanyabiashara wengine kariakoo na mikoani wanachangia kidogo Sana sana

Muda umebana naogopa kudisclose Siri hapa mambo mengi ya kodi hii nchi watu wanachanganya Sana wanafikiria nchi inaongozwa na kodi za hawa wafanyabiashara wa kati sio kweli

TBL hata Bakheresa bado hawahesabiki kama makampuni yanayochangia Sana

Baharesa ana multiple Products line tu

Nitaleta uzi mazingira yakiruhu maana ile hack ya siku ile unaogopa mtandao ulipotea

Zito hamna kitu kwa hili nampinga
Nahisi haujamuelewa kama ambavyo sikimuelewa na mimi mwanzoni hadi niliporudi kusoma tena na kujiongeza kidogo.

Anamaanisha mapato yanayotokana na kodi kwa wafanyakazi kwa mwaka 2016/17 ni trillion 3. Katika hizo, wafanyakazi wamechangia 75% na waajiri 25%.

Nafikiri ndicho anachomaanisha na sio mapato yote ya kodi. Maana pato lote kwaujumla ni ile 25 na points ambayo ina utata baada ya kutoa 23 na points.
 
mwaka 2016/17 Wafanyakazi wote wa sekta ya Umma na Sekta Binafsi walichangia jumla ya shilingi trilioni 3 kwenye mapato yote ya Serikali kulinganisha na Wenye mitaji ambao watachangia jumla ya shilingi bilioni 900 tu kutoka kwenye kodi za faida/gawio, ongezeko la mitaji na riba (taxes on income/interests, profits and capital gains ). Kwa hiyo 75% ya Makusanyo ya Kodi ya Mapato inatoka kwa Wafayakazi na 25% inatoka kwa Waajiri.

TUCTA inapaswa kutumia takwimu kujenga hoja za kutaka nyongeza za mishahara na kupunguza makato ya Kodi, Hifadhi ya Jamii na hili la 15% ya Bodi ya Mikopo


Kusema kweli wameshindwa kuloby. Kama madai ya kupandisha yameshindikana hata punguzo la 1% kwenye makato ya PAYE kwa ujumla wake wameshindwa?
 
Zitto anachekesha kwa hili amebuma, Hii nchi inaendeshwa na kama makampuni 40 ukitoa ya madini na yote yapo DSM

Kodi za kawaida na wafanyabiashara wengine kariakoo na mikoani wanachangia kidogo Sana sana

Muda umebana naogopa kudisclose Siri hapa mambo mengi ya kodi hii nchi watu wanachanganya Sana wanafikiria nchi inaongozwa na kodi za hawa wafanyabiashara wa kati sio kweli

TBL hata Bakheresa bado hawahesabiki kama makampuni yanayochangia Sana

Baharesa ana multiple Products line tu

Nitaleta uzi mazingira yakiruhu maana ile hack ya siku ile unaogopa mtandao ulipotea

Zito hamna kitu kwa hili nampinga
Ukisikia kukurupuka ndo huku!!
 
Back
Top Bottom