Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,217
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu babu alivyokuwa anawatukana polisi hadi kuwaita POLICCM, lakini leo hii ni marafiki zake wakubwa, na wanamlinda vizuri tu kutoka kwa wananchi wenye hasira. Hii yote ashukuriwe Zitto kwa nguvu zake kubwa za kisiasa na kusuluhisha watu.
View attachment 125933
Nabaada ya kuambiwa wamejitambua kwa kiwango fulani. Ndio maana hata mauaji ya Polisi dhidi ya Raia yanazidi kutoweka. Kweli Dr ni mkombozi wa ukweli. Hapa Zitto sijui ameingiaje? Au ni kwa kutuma watu wampige mawe Slaa ndio anafananishwa na Mandela?sijui kama alishawahi kuwatukana
alikuwa anawaeleza ukweli ukweli wanakiuka misingi ya haki za binadamu
na pia alikuwa akiwaambia wamepigika...
sasa wametia adabu
Nabaada ya kuambiwa wamejitambua kwa kiwango fulani. Ndio maana hata mauaji ya Polisi dhidi ya Raia yanazidi kutoweka. Kweli Dr ni mkombozi wa ukweli. Hapa Zitto sijui ameingiaje? Au ni kwa kutuma watu wampige mawe Slaa ndio anafananishwa na Mandela?
Kichwa cha habari Zitto, ndani ya habari Dr Slaa na wanausalama...:A S 39: