rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Mkuu ZZK
nikiwa kama mwanachama wa chadema naomba nikupe ukweli nini kitafata muda si mrefu:
bila kujali utafukuzwa au hufukuzwi chadema,napenda kukuhakikishia ni lazima kwa vyovyote vile uondoke chadema
Zito usifikirie kubaki chadema kwa sababu sisi wanachama ambao tumebeba chama hatuna imani na wewe tena kwa vyovyote vile
tunasubiri siku zako 14 ziishe uondoke,na kama uongozi utakuachia wewe kubaki chadema basi chadema itakuwa kwenye wakati mgumu zaidi kwani sisi wanachama hatutaki ubakie chadema,
kama kweli wewe ni mwana demokrasia naomba kwa moyo wote ondoka ili tuweze kushikamana na kuendeleza mapambano yaliyokwisha anza ya mabadiliko
nikiwa kama mwanachama wa chadema naomba nikupe ukweli nini kitafata muda si mrefu:
bila kujali utafukuzwa au hufukuzwi chadema,napenda kukuhakikishia ni lazima kwa vyovyote vile uondoke chadema
Zito usifikirie kubaki chadema kwa sababu sisi wanachama ambao tumebeba chama hatuna imani na wewe tena kwa vyovyote vile
tunasubiri siku zako 14 ziishe uondoke,na kama uongozi utakuachia wewe kubaki chadema basi chadema itakuwa kwenye wakati mgumu zaidi kwani sisi wanachama hatutaki ubakie chadema,
kama kweli wewe ni mwana demokrasia naomba kwa moyo wote ondoka ili tuweze kushikamana na kuendeleza mapambano yaliyokwisha anza ya mabadiliko