Kiturilo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 709
- 2,858
Zitto amekuwa akimshambulia Hayati Magufuli kama mtu binafsi ( Rais) ilhali katiba ya JMT inaeleza wazi Rais hashtakiwi popote , pia zuzu Zito Kabwe anashindwa kuelewa kuwa anapomtukana Magufuli anakuwa anawatukana wasaidizi wote wa Magufuli, kuanzia Rais Samia, Dk Mpango , Kassim Majaliwa etc
Kwenye kichwa cha Zito Kabwe kumshambulia Magufuli ni muhimu zaidi kuliko kushambulia mgao wa umeme, wizi wa madini ya ruby ya billioni 240 ambayo yanauzwa Dubai bila waziri wa madini kujua chochote!
Kuchelewa kwa mradi wa kufua umeme si muhimu kwenye kichwa cha Zito kabwe.
Zito Kabwe ni mdini, mbinafsi , fisadi anayeamini uvhaguzi ujao atashinda uchaguzi na kuaminiwa na wananchi kupitia kumtukana Magufuli.
Ndio najiuliza huyu Zitto Kabwe anachukia kweli ufisadi
au ana chuki tu na hayati Magufuli?!!
Hivi ulishawahi kukaa na kujiuliza taifa la Tanzania lingelekea wapi bila ujio wa hayati Magufuli kama rais?
Hivi ulishawahi kujiuliza kama Magufuli angefariki kwenye mwaka wake wa kwanza wa urais kingetokea nini?
Kama leo baada ya hayati Magufuli kukaa madarakani kwa miaka 6 kuna watu wanakuja kuponda miradi ya ndege, SGR, Bwawa la mwl Nyerere je vipi kama angeisaini tu na kufariki dunia hao wapondaji wangesema nini?
Vipi kama Magufuli angefariki kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 si Chadema wangezusha kwamba Magufuli amekimbia kipigo cha Tundu Lisu kwenye sanduku la kura?
Leo Corona imepuuzwa duniani kote na sasa wananchi wote wanafuata falsafa za hayati Magufuli lakini bado kuna baadhi ya Chadema wanashupaza shingo na kupuuza misimamo ya Magufuli, je ulishawahi kujiuliza ingekuwaje kama Corona ingeingia Tanzania tukiwa hatuna Magufuli?
Mungu alimtuma Magufuli kutuvusha kisha akamchukua na kwenda zake
Kwenye kichwa cha Zito Kabwe kumshambulia Magufuli ni muhimu zaidi kuliko kushambulia mgao wa umeme, wizi wa madini ya ruby ya billioni 240 ambayo yanauzwa Dubai bila waziri wa madini kujua chochote!
Kuchelewa kwa mradi wa kufua umeme si muhimu kwenye kichwa cha Zito kabwe.
Zito Kabwe ni mdini, mbinafsi , fisadi anayeamini uvhaguzi ujao atashinda uchaguzi na kuaminiwa na wananchi kupitia kumtukana Magufuli.
Ndio najiuliza huyu Zitto Kabwe anachukia kweli ufisadi
au ana chuki tu na hayati Magufuli?!!
Hivi ulishawahi kukaa na kujiuliza taifa la Tanzania lingelekea wapi bila ujio wa hayati Magufuli kama rais?
Hivi ulishawahi kujiuliza kama Magufuli angefariki kwenye mwaka wake wa kwanza wa urais kingetokea nini?
Kama leo baada ya hayati Magufuli kukaa madarakani kwa miaka 6 kuna watu wanakuja kuponda miradi ya ndege, SGR, Bwawa la mwl Nyerere je vipi kama angeisaini tu na kufariki dunia hao wapondaji wangesema nini?
Vipi kama Magufuli angefariki kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 si Chadema wangezusha kwamba Magufuli amekimbia kipigo cha Tundu Lisu kwenye sanduku la kura?
Leo Corona imepuuzwa duniani kote na sasa wananchi wote wanafuata falsafa za hayati Magufuli lakini bado kuna baadhi ya Chadema wanashupaza shingo na kupuuza misimamo ya Magufuli, je ulishawahi kujiuliza ingekuwaje kama Corona ingeingia Tanzania tukiwa hatuna Magufuli?
Mungu alimtuma Magufuli kutuvusha kisha akamchukua na kwenda zake