kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Next time nimshauri Zitto na wanasiasa wengine kufanya timing unapotaka kufanya kazi na jamii. Leo tunakosa uchmbuzi wa comments za ACT Wazalendo kuhusu CAG report kwa Sasa Mbowe kateka media zote nchini.
Natamani kosa kama hili lisijirudie, jipeni muda wakuwasiliana na jamii.
Natamani kosa kama hili lisijirudie, jipeni muda wakuwasiliana na jamii.