Zitengenezwe mobile games za namna gani ili kuliteka soko la Tanzania?

Angalia gemu ambalo halitakuwa lakutumia akili nyingi sana! Wabongo watakimbia!!
Tengeneza la nyoka ila liwe linakula viongozi 😂😂

Walau watu tutapunguza machungu kila ukimuona kiongozi fulani unamfata unamla!!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom