kinundu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,029
- 2,128
Kwanza nianze na kusema kwamba fursa Ni nyingi sana ila tatizo mitaji tuu... Ma haswa watu wasio na mitaji kama mimi hizi fursa tunaziona sanaa..
1.KYELA, MBEYA TANZANIA NA FURSA ZAKE
=ufugaji
Hii wilaya ina uhaba wa wafugaji wa kuku wa mayai, kuku wanyama na ng'ombe wa maziwa
Kyela tunategemea mayai kutoka tukuyu haswa haya mayai ya kisasa, tunategemea maziwa kutoka tukuyu kuanzia mgando hadi fresh wenye mitaji wote hii ni fursa kuwekeza
Kuku wa nyama haswa watu wa huku wanapendelea sanaa kuku wa kienyeji hvyo ukiwa mfugaji wa kuku wa kienyeji utakula sana pesa kwa maana wanunuzi wanapata shida kwa kuzunguka na matenga kusaka kuku vijijini hivyo ukiwa na mifugo yako wanunuzi wote wanakuja kwako...
= biashara
Kuna ujenzi wa barabara ya rami kutoka kyela mjini hadi matema beach.. Hivyo basi ni FURSA kwa wafanya biashara kuleta daladala zenu hoi bara bara ikikamilika...
Mtakua na root kama hizi
-Boda to ipinda
-Kyela mjini to ipinda
-ipinda to ngyekye
-ngyekye to matema beach
Kwa sahivi tunatumia Noah ambazo wanatuchaji 1500 kama Paulo NA umbali kutoka mabibo hadi kariakoo hiyo root ha kyela to ipinda mkileta costa itapendeza kwa 500 itakua shangwe..
= kilimo
Mpunga kyela unalipa sanaa ila tumekosa kuliko cha kisasa ili tupate mazao mengi mnoo kilimo chetu ni cha kutegemea mvua japo tuna mito mitatu mikubwa moto mbaka, kiwila, lufilyo na mto songwe jumlisha na ziwa nyasa
Lakini kuna maeneo kama mabunga wanalima kilimo mara mbili maana mashamba yao yanatunza unyevunyevu.. Kumbuka mpunga wa kyela unasoko NC hi nzima na ni mtamu alafu unabei kubwa..
Kokoa Nazo zipo NA zinastawi vizuri..
Wenye kipato na mitaji karibuni kyela..
Hali ya hewa ni joto sip baridi...
twambie fursa za wilaya uliopo tuje tufanye kazi kumbuka uzalendo ni kupeana deal.. Karibuni
1.KYELA, MBEYA TANZANIA NA FURSA ZAKE
=ufugaji
Hii wilaya ina uhaba wa wafugaji wa kuku wa mayai, kuku wanyama na ng'ombe wa maziwa
Kyela tunategemea mayai kutoka tukuyu haswa haya mayai ya kisasa, tunategemea maziwa kutoka tukuyu kuanzia mgando hadi fresh wenye mitaji wote hii ni fursa kuwekeza
Kuku wa nyama haswa watu wa huku wanapendelea sanaa kuku wa kienyeji hvyo ukiwa mfugaji wa kuku wa kienyeji utakula sana pesa kwa maana wanunuzi wanapata shida kwa kuzunguka na matenga kusaka kuku vijijini hivyo ukiwa na mifugo yako wanunuzi wote wanakuja kwako...
= biashara
Kuna ujenzi wa barabara ya rami kutoka kyela mjini hadi matema beach.. Hivyo basi ni FURSA kwa wafanya biashara kuleta daladala zenu hoi bara bara ikikamilika...
Mtakua na root kama hizi
-Boda to ipinda
-Kyela mjini to ipinda
-ipinda to ngyekye
-ngyekye to matema beach
Kwa sahivi tunatumia Noah ambazo wanatuchaji 1500 kama Paulo NA umbali kutoka mabibo hadi kariakoo hiyo root ha kyela to ipinda mkileta costa itapendeza kwa 500 itakua shangwe..
= kilimo
Mpunga kyela unalipa sanaa ila tumekosa kuliko cha kisasa ili tupate mazao mengi mnoo kilimo chetu ni cha kutegemea mvua japo tuna mito mitatu mikubwa moto mbaka, kiwila, lufilyo na mto songwe jumlisha na ziwa nyasa
Lakini kuna maeneo kama mabunga wanalima kilimo mara mbili maana mashamba yao yanatunza unyevunyevu.. Kumbuka mpunga wa kyela unasoko NC hi nzima na ni mtamu alafu unabei kubwa..
Kokoa Nazo zipo NA zinastawi vizuri..
Wenye kipato na mitaji karibuni kyela..
Hali ya hewa ni joto sip baridi...
twambie fursa za wilaya uliopo tuje tufanye kazi kumbuka uzalendo ni kupeana deal.. Karibuni