Mjadala: Je, ni siku zipi ambazo mwanamke huweza kupata ujauzito katika mzunguko wake wa kila mwezi?

Hakuna tatizo kubwa, labda kama huyo mwanaume atakuwa na vimelea hatari, lakini inakuaje kuhusu kinyaa.
Habari mkuu. Asante kwa elimu. Ila umenishitua sana. Mimi nilidhani mwanamke ndie anaweza kuwa na vimelea hatari lakini naona imekuwa vice versa eti kumbe mwanaume ndie anaweza kuwa na vimelea hatari akahatarisha afya ya mwanamke ila kwa upande wa ule uchefu umtokao mwanamke kinachohofiwa ni kinyaa tu! Samahani naomba kufahamu hivyo vimelea hatari anavyoweza kuwa navyo mwanaume vinaweza kuhatarisha afya ya mwanamke kama watakutana akiwa period.
 
Habari mkuu. Asante kwa elimu. Ila umenishitua sana. Mimi nilidhani mwanamke ndie anaweza kuwa na vimelea hatari lakini naona imekuwa vice versa eti kumbe mwanaume ndie anaweza kuwa na vimelea hatari akahatarisha afya ya mwanamke ila kwa upande wa ule uchefu umtokao mwanamke kinachohofiwa ni kinyaa tu! Samahani naomba kufahamu hivyo vimelea hatari anavyoweza kuwa navyo mwanaume vinaweza kuhatarisha afya ya mwanamke kama watakutana akiwa period.
Hata mwanamke kama ana vimelea hatari kama HIV au STI ni rahisi kupata, kumbuka ile ni body fluids
 
Hata mwanamke kama ana vimelea hatari kama HIV au STI ni rahisi kupata, kumbuka ile ni body fluids
Asante sana ndugu kwa darasa na elimu bora. Lakini sasa mkuu ilikuaje ukatanguliza kuelezea uwezekano wa mwanaume kumuathiri mwanamke endapo mwanaume atakuwa na vimelea hatarishi badala ya kutaja kwanza kilicho wazi kabisa kuwa ule uchafu umtokao mwanamke ni blody fluid hivyo kama mwanamke atakuwa na vimelea hatarishi atakuwa na uwezekano mkubwa sana kumuambukiza mwanaume?
 
KUHUSU KUPATA MTOTO WA KIKE AU KIUME WAKATI WA KUJAMIIANA

Nadharia inasema hivi.
Mbegu ya kiume [XY] ni ndogo, ina kasi sana lakini ni dhaifu,inawahi kufa.
Mbegu ya kike [XX] ni kubwa, haina kasi sana lakini inauwezo wa kuwa hai kwa muda mrefu kuliko ile ya kiume.

Kutokana na sifa hizo

1. Mwanaume mwenye uume mrefu,au staili ya mapenzi ambayo itaufanya uume kuingia ndani zaidi yaani karibu na shingo ya kizazi(cervix) ana nafasi kubwa ya kupata mtoto wa kiume kwasababu mbegu za kiume kwa speed zilizonazo zitawahi kulifikia yai mapema kabla hazijachoka kwasababu zitakuwa zimesafiri umbali mfupi tu.

Sasa wale wenye vibamia wanazichoshwa mbegu za kiume kwasababu zinakimbia umbali mreeefu hatimaye zinapitwa njiani na mbegu za kike zenyewe zikiwa hoi.

2. Kutegemeana na muda ngono ilipofanyika:inaaminika ukifanya ngono siku kadhaa kabla ya ovulation[kupevuka kwa yai kutoka kwenye ovary],mbegu za kiume kwasababu ni dhaifu zitawahi kufa na kubakiwa na mbegu za kike ambazo huleta mtoto wa kike.

Lakini ukifanya ngono siku ya ovulation [yai linapokuwa tayari], uwezekano wa kupata kidume ni mkubwa kwasababu mbegu za kiume zitakuwa zingali hai.

Sasa kuijua sawasawa siku ya ovulation ni shughuli pevu.

HAYA KAZI KWAKO MSOMAJI.
 
Nadhani kwa wadada ukiona unapata shida kuzielewa siku zako download application inaitwa period calender itakusaidia sana.

Tena itakurahisishia kujua siku za hatari, siku ambazo ziko free na pia kukujulisha ujiandae kwa mzunguko mwingine.

Nimeitumia hii application mwaka wa nne huu kama sikosei na haijawahi niangusha. Pia hata ukipata ujauzito unaweza endelea kuitumia.
 
Nadhani kwa wadada ukiona unapata shida kuzielewa siku zako download application inaitwa period calender itakusaidia sana.

Tena itakurahisishia kujua siku za hatari, siku ambazo ziko free na pia kukujulisha ujiandae kwa mzunguko mwingine.

Nimeitumia hii application mwaka wa nne huu kama sikosei na haijawahi niangusha. Pia hata ukipata ujauzito unaweza endelea kuitumia.
Play store ipo?
 
Nadhani kwa wadada ukiona unapata shida kuzielewa siku zako download application inaitwa period calender itakusaidia sana.

Tena itakurahisishia kujua siku za hatari, siku ambazo ziko free na pia kukujulisha ujiandae kwa mzunguko mwingine.

Nimeitumia hii application mwaka wa nne huu kama sikosei na haijawahi niangusha. Pia hata ukipata ujauzito unaweza endelea kuitumia.
Je, imekuwezesha kupata mtoto wa jinsia uitakayo?
 
Mfano wa hizo zionyeshazo na siku za kupata mtoto wa jinsia fulani ni zipi? Samahani kwa usumbufu.

Screenshot_2017-04-24-15-48-38.png
Screenshot_2017-04-24-15-50-05.png


Angalia hizo kama utaweza kuzitumia
 
Habari wakuu,

Turejee kichwa cha habari,

Wakuu naombeni msaada wenu,

Nahitaji kufahamishwa Tarehe za hatari kushika mimba. Nimeuliza hivi coz ya kitu kimoja baada ya kujifungua my first born miaka miwili ya kumwachisha kunyonya nikaweka kijiti mkononi cha miaka 3, baada ya mda huo nikaongeza tena miaka 3 so ikawa jumla 6yrs. Hapo mtoto akawa kashafikisha miaka 8. But kipindi chote wakati nikitumia hii kitu nimepata mateso makubwa coz mzunguko wangu wa period ukavurugika kuumwa sana kiuno ikawa kila mwezi naingia Tarehe mpya.

Lengo la Uzi huu ni hili naomba nielekezwe namna ya kutumia kalenda unasomaje kwenye mzunguko kujua hizi ni siku hatari za kushika mimba na hizi ni safe days coz bae wangu hapendi condom na mimi sitaki tena kuendelea kutumia hizo njia zingine panapo majaaliwa naitaji mtoto wa pili but kwa kipindi ninachosubiri nataka niupumzishe mwili.

Madoctor na wanawake wenzangu nisaidieni PSE ili na mimi nianze kuyafurahia maisha.
 
Ni hivi... Chukua mzunguko wako toa 14 then znazo baki toa 4,hapo hutakiwi kushiriki tendo.

Then chukua zilizobaki baada ya kutoa 14 jumlisha 3 hapo unaruhusiwa kufanya mapenzi

Mfano

Mwenye siku 28 fanya hivi...

28-14=14
Hiyo ndo cku ya ovulation kwake,

So
14-4=10
Tarh hiyo hatakiwi kufanya mapenzi bila kinga kwani atapata ujauzito

Then,

14+3=17
kuanzia tarehe 18 ndo anaweza fanya mapenzi bila kupata ujauzito mpaka tena mwez unaofuatia.

Na mwenye tareh 30 pia vile vile...

NB.

Tarehe huwa zinaongezeka kila mwezi Yaan.
Kama ulianza na 28 ,

Mwezi unaofuata waweza kuwa na 30

Na

Mwez mwingne 35

Na hii hutofautiana kutoka mwanamke mmoja na mwingne.

Chunguza tarhe zako kwa makini, kisha tumia hiyo formula hapo juu itakusaidia.

Nawasilisha.
 
Habari wakuu

Turejee kichwa cha habari: wakuu naombeni msaada wenu nahitaji kufahamishwa TAREHE za hatari kushika mimba!!!

Nimeuliza hvi coz ya kitu kimoja baada ya kujifungua my first born miaka miwili ya kumwachisha kunyonya nikaweka kijiti mkononi cha miaka 3;baada ya mda huo nikaongeza tena miaka 3 so ikawa jumla 6yrs!!

Hpo mtoto akawa kashafikisha miaka 8!but kpndi chote wakati nikitumia hii kitu nimepata mateso makubwa coz mzunguko wngu wa period ukavurugika ;kuumwa sana kiuno;ikawa kila mwez naingia TAREHE mpya!!

lengo la Uzi huu ni hili naomba nielekezwe namna ya kutumia kalenda unasomaje kwnye mzunguko kujua hzi ni cku hatari za kushika mimba na hzi ni safe days coz bae wngu hpendi condom na mm citaki tena kuendelea kutumia hizo njia zingine panapo majaaliw naitaji MTT wa pili but kwa kpnd ninachosubiri nataka niupumzishe mwili!!!

Madoctor na wanawake wnzangu nisaidieni PSE ili na mm nianze kuyafurahia maisha!!

Mnisamehe kwa uandishi wngu jamani!!asanteni!!
Umepumzika miaka 8 bado unataka kupractice hizo safe plan methodologies,, at the same time unataka mtoto wa pili bado cjaelewa exactly what do u really want to know.
Anyway turudi ktk suala lako,,in short huwezi kutumia kalenda kama mzunguko wako hauko stable
 
Back
Top Bottom