Kama umebleed tarehe 21 mwezi wa pili na uka bleed tena tarehe 23 mwezi wa tatu,ina maana mzunguko wako ni wa siku 30 [siku saba za mwezi wa pili zilizosalia kukamilisha siku 28 za mwezi wa pili jumlisha siku 23 za mwezi wa tatu)
Hivyo basi siku ya ovulation hapo inauwekano mkubwa wa kuwa siku ya 16 [yaani 30 -14]. Sasa kama ovulation ni siku ya 16,siku za hatari hapo ni kuhesabu siku nne kabla ya 16 hadi siku tatu baada ya 16 [Yaani siku ya 12 hadi 19 hizo ni hatari].
Kwenye utungaji wa mimba kuna ishu ni exceptional na hatuwezi kuzikwepa,kumbuka hata hiyo calenda method bado ina shindwa mara nyingi tu,kuna concept kama zifuatazo kwa mfano.Mkuu nina swali kuhusu concept ya double ovulation is that true? Je unakwepaje mimba katika concept ya double ovulation?
Yaa ni kweli kabisa,bado kuna kazi kubwa sana inabidi ifanyike kuhusu menstrual cycleKwa watu wa Physics hii theory tungemalizia kwa kusema "Other factors remain constant" hizo factor ni kama vile kutokuwepo mabadiliko ya hedhi. Kwenye suala la hedhi za akina dada kuna changamoto nyingi sana ukirely kwenye nadharia hii. Kwa sababu huwa kuna siku kupungua, kuongezeka hata kupitisha miezi hata miwili mitatu, anarudia tena kawaida yake. Mimi nadhani wanasayansi tuje na kipimo kinachoweza kupima ni siku zipi yai limeshuka. Watu wa Biochemistry inawahusu hii.
Mzunguko wa hedhi una changamoto nyingi,maelezo yaliyo tolewa hapo ni kuhusu mzunguko wa hedhi wa kawaida usio na tatizo lolote[normal menstrual cycle]Asante sana, je inakuwa ni tatizo gani linamfanya mwanamke kutokuona siku zake kwa miezi hata miwili halafu mwezi unaofuatia anaanza kuona tena? Hapo unakuta hajabadili hali ya hewa
Mwezi wa kwanza kwenda wa pili siku 33,mwezi wa pili kwenda wa tatu siku 26,mwezi wa tatu kwenda wa nne siku 32,hizo ndo siku za mizunguko yako.Niambieni basi
Hakuna tatizo kubwa, labda kama huyo mwanaume atakuwa na vimelea hatari, lakini inakuaje kuhusu kinyaaKuna tatizo gani hasa kwa wapenzi kukutana huku mwanamke akiwa anableed aidha liwe tatizo kubwa au tatizo dogo.