jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,749
- 16,358
Baeleze bandugu
Baeleze bandugu
Baeleze bandugu
Sure..let them talk rumous tu..usafi ni muhinu...hata ukila matunda machafu utaharisha sio tu kuingia chumvin kuna madhara peke yake..usafi uzingatiweUkweli hakuna madhara yoyote hasa kama ni mke wako au demu unayeaminiana nae (means msafi na mmepitia vipimo)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie bila hivyo naona kama nimebakaSure..let them talk rumous tu..usafi ni muhinu...hata ukila matunda machafu utaharisha sio tu kuingia chumvin kuna madhara peke yake..usafi uzingatiwe
Uko vzr...na tunapenda
Njoo nikunyonye babyEbu acha kutunyima utamu bwana vipi wewe
Chumvini ni huko njia ya kwenda burundi na congo via uvinza kigoma ndani ndani kabisa.Chumvini ni wapi eti nasikiaga ila sielewagi.
Ni sawa na neno fekero nalo kila nikiuliza maana yake siambiwi sijui kuna siri gani!
hahaha ukiona hivyo ujue ujumbe umefika.INAKUAJE MPKA HUU UZI HAUNA WASHABIKI?
[http://img2]
Tafiti zimeonyesha kuwa,mdomo wa binadamu ki bacteriologia (bacteriologically) ni mchafu maradufu kuliko sehemu ya uke(vagina).
Ni vema kufahamu kuwa,katika hali ya afya,binadamu wote tunaishi navimelea(microorganisms) katika sehemu nmbalimbali za miili yetu, wakiwa na lengo la kutulinda, kitaalamu wanaita normal flora hawa wanakuwa hawana madhara katika mwili.Hivyo ni kweli kuwa vagina kama ilivyo mdomo una normal flora.
sasa baadha ya vitendo huweza kuondoa normal flora na kukaribisha magonjwa,mfano kinamama kujiosha ukeni na maji ya ndimu,limao,Shabu etc huweza kuondoa Normal flora na kukaribisha magonjwa,kama ambavyo matumizi ya sabuni zenye kemikali zinavoweza kuua normal flora kwenye ngozi na kusababusha magonjwa ya ngozi.Hivyo kwa mwanamke mwenye afya,uke ni mahali salama kufanya upendalo(kama vile kwenda chumvini).
Hata hivyo, nionye kuwa hatari ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa kinywani kama vile Gonnorhea, Syphilis, candidiasis (fungus), HIV n.k ipo pale pale kama ambavyo mtu anaweza kuambukizwa kwa njia ya kawaida ya kujamiiana.
Mwisho, kama wewe ni mgonjwa wa kwenda chumvini, hakikisha unafanya mchezo huo nampenzi/mke aliye salama.