Zitakuja nyakati tutatamani Magufuli arudi hata siku moja madarakani

Unataka mikopo na kodi zetu ziwe zinatumika kuongeza watu mishahara tu sio!!

Hizo Marco ni uwekezaji wa muda mrefu ambao Nchi yeyote inayotaka kupiga hatua kimaendeleo lazima iwekeze huko

Huwezi kupiga hatua kiviwanda wakati hauna umeme wa kutosha never

Huwezi kupiga hatua kama hauna reli ya kisasa angalau standard gauge

Tuwe wavumilivu mkuu matokeo yataonekana

Hakuna maendeleo yeyeto yanayowezapatikana Kwa Kusomesha watu no ( kuuwa secta binafsi).Huwa wanaanza na kuwainua watu kwanza Kwa kuwatengenezea mazingira ya wao kukua mfano kufuta au kupunguza kodi direct tax,kujenga mireji ya umwagiliaji kila sehemu, kujenga vyuo vya maendeleo, ujasiliamali ufundi chini ya veta kila kata na kuwakopesha watu elimu,kuwapa ruzuku za vifaa vya Kilimo na kufungua mipaka, kuruhusu hela kwenye mzunguko ili watu waweze kuuza na kununua. Hii uongeza idadi ya walipa kodi na kuchochea uzalishaji wakiongeza uzalishaji utapata kodi nyingi sana ukipata kodi za kutosha ndo unafanya macro economy project bila kuathiri watu wako.Ya macro economic ni kuhofia ya Ethiopia yasijitokeze pale miradi imekwisha na hainufaishi wote zaidi ya kufurahisha macho ya waliyoianzisha huku vijana wao wakifa kwenye malori ugenini.huku mapato yote utumika kulipia madeni ya mikopo nje,ambapo hadi wakimaliza kulipa mikopo miradi imeshachakaa inataka ukarabati.
 
Wengi wanaomwabudu mungu wa Kijani ni wapiga dili na wanufaika wa zama hizi za wateule washibe na kusaza huku wanyonge wakinyongelewa mbali kwenye MTU wa uzalendo
 
Kwa uelewa wangu nchi inatakiwa iwe na akiba ya kujiendesha si chini ya miezi sita bila kuzalisha
Nadhani umenielewa ila mimi sio mchumi
Naomba nijuze. Ni sheria ipi? Na ni kiwango gani cha reserves kinahitajika? Reserve si tunazo? Kweli ni lazima cash?
 
Mimi naona tatizo lake ni kuwekeza kwenye macro economy ambayo matunda yake sio ya papo kwa papo
Tofauti na watanzania tulivyozoea kuweka mipango ya siku moja tu
Sema kweli ya moyo wako, huoni tatizo lolote na magu?
 
Achana na huyo msagaji mwache aendelee kubweka Kwenye mitandao ya kijamii

Alikuwa anajidanganya Rafiki zake kina January wana Nguvu za kisiasa ila hakuamini walivyofyekwa

Ugonjwa wa vijana wengi Tanzania ambao Wazazi wao walibahatika kuwa kwenye serkali kuu huwa wanajiona wanastahili zaidi haki kuliko wengine
Ndicho kinachowakuta akiwemo huyo mwanamke asiyejitambua
TWAWEZA ya Maria Sarungi? Acha tu ifungiwe na ikiwezekana na yeye mwenyewe Maria afukuzwe nchi. Maria Sarungu ndiyo hao hao vibaraka wa mabeberu.

Maria Sarungu by the way sio mtanzania kwa taarifa yako. Maria Sarungu ana asili ya kitanzania kwa vile baba yake ni mtanzania, lakini yeye mwenyewe ana nationality ya Hungary kwa mama yake mzungu. Na amechukua kibongo cha mama yake Tsehai. Kwa majina Anajulikana kama Maria Sarungi Tsehai.

Maria Sarungi Tsehai ana agenda moja tu ya kufanya nayo ni kumkandia Rais wetu na serikali yake nje na hasa ujerumani ili ionekane kama ni serikali ya kidikteta ambayo inaendeshwa kwa misingi ya ukiukwaji wa haki za binadam. Promoter ni Deutsche Welle DW na NGOs tofauti Germany.

Sija msikia hata mara kwenye kwenye Deutsche Welle au Al Jaseera akieleza mambo mazuri ya miradi ambayo Rais wetu na serikali yake inayaifanya. Yeye ame FOCUS kwenye uongo wa kuiharibu serikali ya Magufuli tu na sio kingine. Ni nyoka hatari sana huyu mwanamke.

Hivyo Mzee Sarungi anapo sikia habari hizi za binti yake ana jisikiaje? Au na yeye ndiyo yuko kwenye kundi moja na mwanae?

Hii ndiyo mijitu ambayo haitaki kufanya kazi za kuleta maendeleo bali kupata pesa kutoka pesa za walipa kodi wa nchi nyingine kama Germany.

Maria Sarungi Tsehai ndiyo hao hao vibaraka wanao lipwa na NGOs kutoka ujerumani ambao wana nia ya kuzuia maendeleo yetu.

Ningekuwa mimi ndiyo Magufuli ninge mpiga marufuku kuja nchini. Aende akaishi huko huko mama yake anakotoka Hungary.

Itakuwaje mtu kama yeye ana ikashifu nchi ambayo Baba yake, wajomba na shangazi zake wanaishi kwa maslahi yake binafsi? Mbona hamlaumu Rais wa nchi ambayo mama yake anatoka ambaye anafanya mambo ya ovyo sana kuhusu wakimbizi kutoka Afrika na kuwatandea wamachi wake mambo mabaya?

Rais wa Hungary Victor Orban ni racist wa kupindukia. Na EU ana sifa mbaya sana. Naye pia ni mpinga kila kitu kinacho husu EU. Mbona hamshutumu yeye? Hapo ndipo utajua kiasi gani hawa watu wanatumika.

Kudai haki za binadam ni Afrika tu na sio kwao Ulaya?

Nafikiri iko siku Rais Magufuli atajijutia udhaifu wake wa kuwa na huruma na watu kama hawa.
 
Ngo hizo nyingi zimejaa upuuzi na ujinga
Wana ajenda nyingi ovu nyuma ya pazia
Mkuu umekwenda mbali sana kwa chuki zako tu kwa Maria Sarungi. Umechanganya uwongo mwingi ili ku justify unayoyataka kutulisha.

TWAWEZA ni NGO iliyosajiliwa kihalali na Msajili wa NGOs nchini siyo mali ya Maria Sarungi na wala Maria Sarungi hafanyi kazi TWAWEZA. At most namjua founder CEO alikuwa anaitwa Rakesh Rajani na kwa sasa ni Aidan Eyakuze.

Secondly Tsehai ni jina la mume wa Maria, ila Maria Sarungi ni binti wa Prof Philemon Sarungi. Kama una shida ya uraia wake fikisha tuhuma yako Idara ya Immigration.

Kama unaandika taarifa za uwongo hata kiasi kidogo, zinachafua kabisa habari za ukweli ulizonazo.

Jukumu la kusifu miradi ya JPM lina watu wake including wewe, waache wengine wakosoe, ndiyo maana tulikwenda shule. Msilazimishe kila mmoja aone mnavyoona nyinyi. Nyinyi sifieni na wengine waache wafanye yao, wananchi nfdyo wataamua kwa njia ya kura
 
Hivi unajua hicho kituo kilikuwa hub ya kusambazia unga!!
Wanaenda watu studio wanatoka na mzigo

Mkuu nchi hii ni zaidi ya uijuavyo

Mambo mengine jipe muda utafakari kabla ya kulalamika

Mkuu wa mkoa atabeba wanajeshi wa nini? Kwenye kituo cha redio Au tv? Ujue kuna vitu vingi hatukuambiwa kwenye hilo Tukio na huwezi kuambiwa kila kitu

Unafikiri kwanini clouds imelalamikiwa kuwa imeua wasanii wengi?
Ushahidi fungua hii tweet hapa,
Usipomuona Bashite hapo basi sina namna ya kukusaidia;
 
Mimi naona tatizo lake ni kuwekeza kwenye macro economy ambayo matunda yake sio ya papo kwa papo
Tofauti na watanzania tulivyozoea kuweka mipango ya siku moja tu

Hata matunda yake yakipatikana yatatumika kulipa mikopo iliyokopwa sababu ya project.
 
Mkuu naamini wewe umejikita kwenye propaganda zaidi ya uhalisia

Ni lini Rais amewatenga watu wa kaskazini?
Vigezo gani unatumia kusema amewatenga watu wa kaskazini
Hivi unajua ni miradi mingapi ya maendeleo inaendelea huko kaskazini? Au Kwasababu Wewe umelishwa na mitandao ya kijamii umeamua kuamini huo uwongo?

Unatakwimu za watu waliojiriwa hadi useme kaskazini wanatengwa?

Na wewe unaamini kuna wizi wa zaidi wa Tilion moja tsh?
Kwa ufupi tu uchumi wetu ulivyo kama ungetokea wizi wa Tilion moja lazima nchi ingetikisika Kwasababu uchumi wetu bado haujawa imara

Sikuwahi kusikia CAG akisema Kuna wizi wa Tilion ila alichosema ni matumizi Tofauti na yalivyopangwa
Mfano kama pesa ilipangiwa kujenga uwanja inahamishiwa matumizi yake inapelekwa kwenye kujenga standard gauge

Hivyo huo huwezi kuita wizi mkuu
Let's be honest
Baba wa Taifa hakuwa mbaguzi kikabila na kikanda, unamashabikia Jiwe aliyewatenga watu wa Aeusha na Kilimanjaro.
Baba wa Taifa hakuwa muuaji, unashabikia mtu aliyeagiza Bensanane na Azory Gwanda wauliwe
Baba wa Taifa hakuwa mbinafsi wa kupenddelea alikozaliwa, unamshabikia anayejenga airport ya runway ya kimataifa kijijini kwake.
Baba wa Taifa akisema wasio na vyeti wasiajiriwe, unamshabikie aliyewaindoa wenye vyeti feki akamuacha mwanaye Bashite
Baba wa Taifa ndiye aliyesema twende kwenye vyama vingi, unamshabikia anyekakandamiza vyama vya upinzani
Baba wa Taifa alikuwa siyo mwizi, inamshabikia mwizi wa Tsh 2.4 Trilion
Ongeza mengine mwenyewe
 
Yote hayo uliyoyasema km kuweka vyuo vingi vya kati,kilimo cha umwagiliaji,na mambo mengine yalifanyika kipindi cha mzee Nyerere
Ila hapakwepo na tija nzuri ya kuviboresha kila kitu kikaenda mrama
Ikawa kila moja anajitahidi kula kwa urefu wa kamba yake

Vyuo vya kati vikadorora,viwanda vikafa na miradi mingi iliyoajiri vijana ikatwoweshwa mpaka leo
Anachofanya magufuli ni kuamua kujenga miradi mikubwa ambayo itachochea zaidi uchumi kwa miaka mingi mbele

Unapokuwa na umeme wa uhakika lazima fursa za ajira zitakuwa nyingi viwanda vingi vitaanzishwa

Unapokuwa na standard gauge kutarahisisha bandari ya Dar es salam inayotegemewa na nchi zaidi ya nne katika ukanda wetu na pia itazifanya barabara zetu kuwa na life span kubwa kutokana na magari makubwa ya mizigo hayatahitajika sana barabarani

Hakuna maendeleo yeyeto yanayowezapatikana Kwa Kusomesha watu no ( kuuwa secta binafsi).Huwa wanaanza na kuwainua watu kwanza Kwa kuwatengenezea mazingira ya wao kukua mfano kufuta au kupunguza kodi direct tax,kujenga mireji ya umwagiliaji kila sehemu, kujenga vyuo vya maendeleo, ujasiliamali ufundi chini ya veta kila kata na kuwakopesha watu elimu,kuwapa ruzuku za vifaa vya Kilimo na kufungua mipaka, kuruhusu hela kwenye mzunguko ili watu waweze kuuza na kununua. Hii uongeza idadi ya walipa kodi na kuchochea uzalishaji wakiongeza uzalishaji utapata kodi nyingi sana ukipata kodi za kutosha ndo unafanya macro economy project bila kuathiri watu wako.Ya macro economic ni kuhofia ya Ethiopia yasijitokeze pale miradi imekwisha na hainufaishi wote zaidi ya kufurahisha macho ya waliyoianzisha huku vijana wao wakifa kwenye malori ugenini.huku mapato yote utumika kulipia madeni ya mikopo nje,ambapo hadi wakimaliza kulipa mikopo miradi imeshachakaa inataka ukarabati.
 
Huo ni mtazamo mfu kwamba kila anayekubali kazi kubwa inayofanywa na mh Rais lazima awe kanufaika Siamini katika hilo mimi

Hivi ni kweli haukubali utendaji kazi wa Magufuli au itikadi zinakusumbua tu
Wengi wanaomwabudu mungu wa Kijani ni wapiga dili na wanufaika wa zama hizi za wateule washibe na kusaza huku wanyonge wakinyongelewa mbali kwenye MTU wa uzalendo
 
Naomba unijibu ulitaka Nchi ichukue mkopo watu waanze kulipana mishahara?

Mind you wafanyakazi wa Tanzania ajira rasmi hawafiki hata milion moja

Je kipi ni bora kutengeneza miradi ambayo itakuwa na manufaa kwa Watanzania milion 50+ Au kuchukua mkopo na kudeal na kundi dogo la watu chini ya million

Nakukumbusha tu Mkuu hata nchi zilizochanua kwa kiasi kikubwa kiuchumi leo walipita kwenye vipindi kama tunavyopita sisi

Ni wazi hakuna binadamu ambaye anapenda kuishi kwa taabu lakini kama nchi lazima kuwe na maendeleo jumuishi
Hata matunda yake yakipatikana yatatumika kulipa mikopo iliyokopwa sababu ya project.
 
Hivi unajua hicho kituo kilikuwa hub ya kusambazia unga!!
Wanaenda watu studio wanatoka na mzigo

Mkuu nchi hii ni zaidi ya uijuavyo

Mambo mengine jipe muda utafakari kabla ya kulalamika

Mkuu wa mkoa atabeba wanajeshi wa nini? Kwenye kituo cha redio Au tv? Ujue kuna vitu vingi hatukuambiwa kwenye hilo Tukio na huwezi kuambiwa kila kitu

Unafikiri kwanini clouds imelalamikiwa kuwa imeua wasanii wengi?
Wanaua vipi wasanii?Hao wasanii mbona awawiki tena baada ya ruge,
Naomba unijibu ulitaka Nchi ichukue mkopo watu waanze kulipana mishahara?

Mind you wafanyakazi wa Tanzania ajira rasmi hawafiki hata milion moja

Je kipi ni bora kutengeneza miradi ambayo itakuwa na manufaa kwa Watanzania milion 50+ Au kuchukua mkopo na kudeal na kundi dogo la watu chini ya million

Nakukumbusha tu Mkuu hata nchi zilizochanua kwa kiasi kikubwa kiuchumi leo walipita kwenye vipindi kama tunavyopita sisi

Ni wazi hakuna binadamu ambaye anapenda kuishi kwa taabu lakini kama nchi lazima kuwe na maendeleo jumuishi

Mbona miradi isiyo na tija inajazwa kijijini kwake kwa kodi za watu wananchi.hii inasaidia vipi uchumi wa watu 50M.
 
Hivi unajua hicho kituo kilikuwa hub ya kusambazia unga!!
Wanaenda watu studio wanatoka na mzigo

Mkuu nchi hii ni zaidi ya uijuavyo

Mambo mengine jipe muda utafakari kabla ya kulalamika

Mkuu wa mkoa atabeba wanajeshi wa nini? Kwenye kituo cha redio Au tv? Ujue kuna vitu vingi hatukuambiwa kwenye hilo Tukio na huwezi kuambiwa kila kitu

Unafikiri kwanini clouds imelalamikiwa kuwa imeua wasanii wengi?
Wacha kumezwshwa maneno kama kasuku. Kwanza ulitaka ushahudi wa Bashite kuvamia Clouds nimekupa CCTV footage. Sasa unaniambia kilikuwa kituo cha kusambaza madawa, kwa nini hamkukamata mtu hata mmoja anayesambaza hayo madawa na kumpeleka kwenye Sheria ilichukue mkondo. Sisi tuna akili, siyo zero brain kama Bashite.
 
Wanaua vipi wasanii?Hao wasanii mbona awawiki tena baada ya ruge,


Mbona miradi isiyo na tija inajazwa kijijini kwake kwa kodi za watu wananchi.hii inasaidia vipi uchumi wa watu 50M.
Mkuu tusijadili ya clouds yalishapita hayo tugange yajayo


Ni miradi gani imepelekwa chato mbona tunapenda kuongea bila fact

Uwanja wa ndege huko chato umejengwa Kwasababu ya kufunguliwa kwa hifadhi ya wanyama
Tatizo tunalishwa sumu tunazipokea kama zilivyo this is not fair

Chato inapendelewa kwa lipi? Umewahi kufika huko chato au unadanganywa tu mitandaoni kwa kunapendelewa
 
Mkuu sikulazimishi kuamini wala sipo hapa kumtetea makonda

Lakini tambua serkal inamkono mrefu sana inaona kule sisi tusipoona
Wacha kumezwshwa maneno kama kasuku. Kwanza ulitaka ushahudi wa Bashite kuvamia Clouds nimekupa CCTV footage. Sasa unaniambia kilikuwa kituo cha kusambaza madawa, kwa nini hamkukamata mtu hata mmoja anayesambaza hayo madawa na kumpeleka kwenye Sheria ilichukue mkondo. Sisi tuna akili, siyo zero brain kama Bashite.
 
Back
Top Bottom