TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Wakati uchaguzi mdogo wa Jimbo la Igunga unakaribia vyama vya CUF na CCM vilitutangazia kwamba vitatumia helkopta kwenye uchaguzi huo. Na hii ndiyo ingekuwa kwa mara ya kwanza kwa CUF kutumia helkopta katika chaguzi na mara ya pili kwa CCM kutumia katika chaguzi ndogo baada ya ule wa Tarime. Hadi leo ambapo tumebakiwa na takribani siku tano hakuna chama hata kimoja kati ya hivyo ambavyo vimeingiza helkopta jimboni humo.
Watu wenye akili timamu wanasema kwamba ni kwa sababu CDM bado hawajaanza kuitumia. Kwa hiyo somo tunalolipata hapa ni kwamba CDM ndicho chama kinachoongoza vyama vingine vifanye nini na nini visifanye.
Mtakumbuka wakati wa Uchaguzi mdogo Jimbo la Tarime, CDM ilipoongiza helkopta dakika za mwisho wa kampeni, CCM nao wakaingiza helkopta mbili zilizofadhiliwa na Rostam.
Watu wenye akili timamu wanasema kwamba ni kwa sababu CDM bado hawajaanza kuitumia. Kwa hiyo somo tunalolipata hapa ni kwamba CDM ndicho chama kinachoongoza vyama vingine vifanye nini na nini visifanye.
Mtakumbuka wakati wa Uchaguzi mdogo Jimbo la Tarime, CDM ilipoongiza helkopta dakika za mwisho wa kampeni, CCM nao wakaingiza helkopta mbili zilizofadhiliwa na Rostam.