Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
So wajiandae kukaa ndani 5 yrs again kusubiria ushahidi,then tunakwenda church kufanya nn?Inawezekana mkuu.Lakin hilo nalosema mbona liko wazi bila kujali ww ni cc au cdm, unapaswa kulifahamu tu.Haijawah tokea rais wa chama tawala kuhudumu muhula mmoja toka siasa za vyama vingi kuanzishwa tanzania.
Tuweke ushabik pembeni