Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 664
Habari wana JF,
Nahitaji kujua kama kuna mtu ana kiwanja anataka kuniuzia natakiwa nifuate taratibu gani kisheria ili nisije kugubudhiwa baadae, kwa vijijini taratibu zikoje na kwa mijin taratibu zikoje pia nikitaka kununua shamba nifuate taratibu zipi ili hilo shamba liwe mali yangu halali kisheria.
Kama nataka kununua nyumba kutoka kwa mtu au kuachiwa nyumba natakiwa kufuata taratibu gani ili hiyo nyumba iwe mali yangu kihalali?
Natanguliza shukrani! 🙏
Nahitaji kujua kama kuna mtu ana kiwanja anataka kuniuzia natakiwa nifuate taratibu gani kisheria ili nisije kugubudhiwa baadae, kwa vijijini taratibu zikoje na kwa mijin taratibu zikoje pia nikitaka kununua shamba nifuate taratibu zipi ili hilo shamba liwe mali yangu halali kisheria.
Kama nataka kununua nyumba kutoka kwa mtu au kuachiwa nyumba natakiwa kufuata taratibu gani ili hiyo nyumba iwe mali yangu kihalali?
Natanguliza shukrani! 🙏