Mseriandy Member Mar 27, 2011 35 6 May 9, 2012 #1 Nina wazo la kuanzisha NGO ya mazingira. Nataka ifanye kazi wilaya moja, baadae mkoa mzima. Vipi taratibu ni zipi? Unaandikishaje kwa serikali ili kupata kibali?
Nina wazo la kuanzisha NGO ya mazingira. Nataka ifanye kazi wilaya moja, baadae mkoa mzima. Vipi taratibu ni zipi? Unaandikishaje kwa serikali ili kupata kibali?
Mseriandy Member Mar 27, 2011 35 6 May 11, 2012 Thread starter #2 Mou na articles of association ni shs ngapi kuandika?
cerengeti JF-Expert Member Jan 19, 2011 3,878 1,622 Aug 30, 2012 #3 Mseriandy said: Nina wazo la kuanzisha NGO ya mazingira. Nataka ifanye kazi wilaya moja, baadae mkoa mzima. Vipi taratibu ni zipi? Unaandikishaje kwa serikali ili kupata kibali? Click to expand... ninaweza kukusaidia napatikana 0655 308308.
Mseriandy said: Nina wazo la kuanzisha NGO ya mazingira. Nataka ifanye kazi wilaya moja, baadae mkoa mzima. Vipi taratibu ni zipi? Unaandikishaje kwa serikali ili kupata kibali? Click to expand... ninaweza kukusaidia napatikana 0655 308308.