Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 985
- 1,656
Ni dhamana mkuu...tena awamu hii kina nguvu sana, hukumsikia JK akiongelea kujimwambafy?.
Raisi wa hovyo kabisa huyu. Mzee wa kukurupuka,cheo cha juu ambacho angepaswa kuishia ni Waziri Mkuu. Uraisi unahitaji hekima,busara,subira na maono.