INAUZWA Zipate mashine za lambalamba au Popsicle's

Job Richard

JF-Expert Member
Feb 8, 2013
3,865
2,168
Hello wana jamvi kama unahitaji

mashine ya kutengeneza lambalamba yenye uwezo mkubwa piece 200 kwa pamoja ndani ya dakika 25-35 tayari ni kwa kibiashara kweli kweli tunaitengeneza hapa hapa gharama yake million tano tu

Pia zipo za kutoka China kwa wapenzi wa hizi mashine zipo uwezo tofauti tray moja 3m
Na tray mbili 4m
Tray tatu 5m
Kwa sasa zimebaki tano tu karibuni

0774150519
Mashine zote zinazouzwa chini yetu najidakia store ni imara na bora
IMG-20190208-WA0005.jpg
IMG-20190125-WA0021.jpg
IMG-20190125-WA0020.jpg
IMG-20190208-WA0005.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magomeni unapata mashine ya lamba lamba kwa milion moja na laki tano anaetaka anichek dm nimuekekeze pa kwenda akanunue kwa bei ya 1.5m muache kuwapiga watu na bei za juu, mara mashine ya corn milion 3, mara lamba lamba mashine milion 3 du
 
Magomeni unapata mashine ya lamba lamba kwa milion moja na laki tano anaetaka anichek dm nimuekekeze pa kwenda akanunue kwa bei ya 1.5m muache kuwapiga watu na bei za juu, mara mashine ya corn milion 3, mara lamba lamba mashine milion 3 du
Ndugu kiushauri weka tangazo lako maana tunaziweka bei zetu kutokana na unaponunua sasa anaweza kukuuzia mashine used au isiyo na ubora bei ya chini mwisho wa siku hata mwaka haimalizi

China ina soko kubwa nyinyi ndo mnaifanya nchi yetu dampo la vitu vibovu Angalia hizo model zetu na linganisha na hizo zako hatukubezi

Na kuthibitisha zaidi ingia mtandaoni google kampuni za hizi mashine na bei zake zilivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najidakia online store wanatoa service ifuatayo

mashine ya kutengeneza lambalamba yenye uwezo mkubwa piece 200 kwa pamoja ndani ya dakika 25-35 tayari ni kwa kibiashara kweli kweli tunaitengeneza hapa hapa gharama yake million tano tu

Pia zipo za kutoka China kwa wapenzi wa hizi mashine zipo uwezo tofauti tray moja 2.6m
Na tray mbili 3.8m
Tray tatu 4.9m
Kwa sasa imebaki moja tu yenye tray moja karibuni
0762612213

Mashine zote zinazouzwa chini yetu najidakia store ni imara na bora
View attachment 1020319View attachment 1020321View attachment 1020322View attachment 1020323

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hyo machine yenye tray1 inatoa piece ngapi kwa wakati mmoja na kwa muda gn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magomeni unapata mashine ya lamba lamba kwa milion moja na laki tano anaetaka anichek dm nimuekekeze pa kwenda akanunue kwa bei ya 1.5m muache kuwapiga watu na bei za juu, mara mashine ya corn milion 3, mara lamba lamba mashine milion 3 du
Mkuu naomba nielekeze, nimeku pm.
 
Ndugu kiushauri weka tangazo lako maana tunaziweka bei zetu kutokana na unaponunua sasa anaweza kukuuzia mashine used au isiyo na ubora bei ya chini mwisho wa siku hata mwaka haimalizi

China ina soko kubwa nyinyi ndo mnaifanya nchi yetu dampo la vitu vibovu Angalia hizo model zetu na linganisha na hizo zako hatukubezi

Na kuthibitisha zaidi ingia mtandaoni google kampuni za hizi mashine na bei zake zilivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba jina la kampuni ni google nilinganishe bei mkuu kama ulivyoshauri, zenu ni brand gani!
 
Najidakia online store wanatoa service ifuatayo

mashine ya kutengeneza lambalamba yenye uwezo mkubwa piece 200 kwa pamoja ndani ya dakika 25-35 tayari ni kwa kibiashara kweli kweli tunaitengeneza hapa hapa gharama yake million tano tu

Pia zipo za kutoka China kwa wapenzi wa hizi mashine zipo uwezo tofauti tray moja 2.6m
Na tray mbili 3.8m
Tray tatu 4.9m
Kwa sasa imebaki moja tu yenye tray moja karibuni
0762612213

Mashine zote zinazouzwa chini yetu najidakia store ni imara na bora
View attachment 1020319View attachment 1020321View attachment 1020322View attachment 1020323

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba ufafanue na watt kila moja ina ngapi, na je zinatumia huu umeme wa majumbani au 3
phase?!
 
Magomeni unapata mashine ya lamba lamba kwa milion moja na laki tano anaetaka anichek dm nimuekekeze pa kwenda akanunue kwa bei ya 1.5m muache kuwapiga watu na bei za juu, mara mashine ya corn milion 3, mara lamba lamba mashine milion 3 du
Asante kwa kutufumbua macho
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom