ukiivuta chini unaumia, ukivuta kwa juu unaumia. ukisema itulie hapo hapo ilipo nasa unaumia. ushaonja maumivu ya zip iliyo nasa kwenye ngozi ya mdudu?. mia
Hahahahaaa!Kwenye ngozi au kwenye zile nywele?Wee weee si mchezo mi ilinasa kwenye nywele zetu zilee!Kuna uzi humu tumeambiwa tunyoe jamani!!
huvai boxer???
teh teh teh... ikamate kwenye mdomo wa sweta!:faint2:
kwiii...huo uzi uko jukwaa gan mkuu?me cjanyoa toka 2006!Hahahahaaa!Kwenye ngozi au kwenye zile nywele?Wee weee si mchezo mi ilinasa kwenye nywele zetu zilee!Kuna uzi humu tumeambiwa tunyoe jamani!!
twehe tweh....pwahahahaaaaaaaaa....!iv n kweli eti ukivaa boxer inapnda?so muhimu pensi ili inyooke?Kila siku boxer!Siku moja moja hewa inahitajika(ventilation)!
twehe tweh....pwahahahaaaaaaaaa....!iv n kweli eti ukivaa boxer inapnda?so muhimu pensi ili inyooke?