Zingatia huu umri jamani! Ana maanisha au kuna ki2 kinamsumbua kichwa?

Sharo hiphop

JF-Expert Member
May 17, 2011
660
99
Dogo ana miaka 22, kamaliza form 6 mwaka jana, hata chuo hakwenda. Hivi juz 2kiwa kwenye kambi mmoja ambalo liko mbali kidogo na wasichana kwa muda wa miezi ka 5 chali alitutamkia nia yake LIVE kuwa anataka kuoa, hapo hapo anataka kwenda chuo!
Sasa mi najiuliza ni ki2 gani hasa kilimtuma kusema maneno yale.
Mbarikiwe wana carpet.
 
Hapo ilitakiwa aulize ,anaoa mtu wa namna gani maana kuna watu wana pesa zao shida yao ni kuolewa tu, lakini kama ni kuoa kwa maana ya kubeba majukumu huyo kijana bado sana ,namshauri amalize chuo kwanza
 
Mara nyingine ni vizuri ukamuuliza muhusika uelewe then hapa utuletee nivipi umejaribu mshauri na kama ushauri haujafaa na sie tuchangie what to do... Umeanzia mbali kutuuliza ni kwanini kamuua hivyo badala ya kumuuliza utupe jibu lake then tujitahidi kadri ya uwezo wetu kuchangia..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom