Sharo hiphop
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 660
- 99
Dogo ana miaka 22, kamaliza form 6 mwaka jana, hata chuo hakwenda. Hivi juz 2kiwa kwenye kambi mmoja ambalo liko mbali kidogo na wasichana kwa muda wa miezi ka 5 chali alitutamkia nia yake LIVE kuwa anataka kuoa, hapo hapo anataka kwenda chuo!
Sasa mi najiuliza ni ki2 gani hasa kilimtuma kusema maneno yale.
Mbarikiwe wana carpet.
Sasa mi najiuliza ni ki2 gani hasa kilimtuma kusema maneno yale.
Mbarikiwe wana carpet.