Zinduna Talk Show: Leo mjengoni yupo Madame B, na Host wenu ni ErickB52

Erickb52

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
18,539
11,442
Habari wana Chit chat.
Leo nimepewa heshima kubwa na Host wa kipindi hiki Zinduna ili kuendesha kipindi cha leo ambacho kina mgeni machachari na mwenye changamoto humu Chit chat na si mwingine bali ni Madame B
Kipindi cha leo kitakuwa ni LIVE hivyo nawaomba sana mvute subira wakati namuliza Madame mswali na hapo nitakapomaliza ndipo nitawaalika kujakutoa maoni yenu au kumuuliza maswali mgeni wetu Madame B

Je Madame B uko tayari kwa kwa Talk Show?

Swali:
Hebu nipe historia yako ya hapa JF kwa kifupi, yaani ulifahamuje kuhusu JF, ulijiunga lini na ni nini kilikusukuma hadi ukajiunga na JF?
 
Last edited by a moderator:
Asante sana Erickb52 na niko tayari kwa maswali.

Mimi nilijiunga na Jf tar 9 April 2012,
na nilijiunga baada ya kukutana na member ambae simfahamu ID yake mpaka leo.
Katika kupiga stori akaongelea kuhusu Jf.

Kiukweli nilivutiwa na nilipofika home nikamwambia dada Kijino aniunganishe.
Hvyo nikaingia rasmi humu dimbani.

Kilichonisukuma ni upendo nilionan kwa Jf kwa Ujumla.
Asante.
 
Last edited by a moderator:
Asante sana Erickb52 na niko tayari kwa maswali.

Mimi nilijiunga na Jf tar 9 April 2012,
na nilijiunga baada ya kukutana na member ambae simfahamu ID yake mpaka leo.
Katika kupiga stori akaongelea kuhusu Jf.

Kiukweli nilivutiwa na nilipofika home nikamwambia dada Kijino aniunganishe.
Hvyo nikaingia rasmi humu dimbani.

Kilichonisukuma ni upendo nilionan kwa Jf kwa Ujumla.
Asante.
Ok sawa....!

Swali la 2:
Hebu nipe kwa kifupi historia kuhusu maisha yako ya shule, yaani ni changamoto gani ambazo ulikabiliana nazo na leo hii ukiangalia ulipotoka unajiona kama shujaa
 
Ok sawa....!

Swali la 2:
Hebu nipe kwa kifupi historia kuhusu maisha yako ya shule, yaani ni changamoto gani ambazo ulikabiliana nazo na leo hii ukiangalia ulipotoka unajiona kama shujaa

Kiukweli mimi nimesoma shule ya galz tupu,hvyo nadhani kuwehuka huku kunatokana na kufungiwa sana skonga na ticha.
Changamoto zipo nyingi tu.

Kwanza nilikuwa mchangamfu sana nadhani hyo nafasi bado ipo moyoni mpaka leo na ndio inanifanya niweze kuishi maisha yoyote na mtu yoyote.

Pia kuna hili swala la Utiifu,yani nilikuwa mtiifu kiasi ambacho nilipewa uongozi shuleni.
Vivyo hvyo changamoto hii imenisaidia mpaka leo kuwa na tabia ya kumjua mtu kiundani zaidi.
Kwa kweli namshukuru sana Mama Mshana,aliekuwa mkuu wetu wa shule.
Asante.
 
Kiukweli mimi nimesoma shule ya galz tupu,hvyo nadhani kuwehuka huku kunatokana na kufungiwa sana skonga na ticha.
Changamoto zipo nyingi tu.

Kwanza nilikuwa mchangamfu sana nadhani hyo nafasi bado ipo moyoni mpaka leo na ndio inanifanya niweze kuishi maisha yoyote na mtu yoyote.

Pia kuna hili swala la Utiifu,yani nilikuwa mtiifu kiasi ambacho nilipewa uongozi shuleni.
Vivyo hvyo changamoto hii imenisaidia mpaka leo kuwa na tabia ya kumjua mtu kiundani zaidi.
Kwa kweli namshukuru sana Mama Mshana,aliekuwa mkuu wetu wa shule.
Asante.
Sawa...

Swali la 3:
Je Ulifahamuje kuhusu tendo la kujamiiana? Yaani ni nani alikufundisha kwamba hiyo kitu downthere ina matumizi mengine mbali na yale ya kutabawali (Kujisaidia)?
 
Sawa...

Swali la 3:
Je Ulifahamuje kuhusu tendo la kujamiiana? Yaani ni nani alikufundisha kwamba hiyo kitu downthere ina matumizi mengine mbali na yale ya kutabawali (Kujisaidia)?

Leooo...
Ok asante,
unajua enzi za udogo usichana nilikuwa mtukutu na mdadisi sana.
Kulikuwa na kitabu flani cha hayo mambo nilikifumania kwenye makabati ya home.
Nakumbuka nilikuwa na 12yrs.
Nilikichukua nikawa naenda nacho shule ili tukaangalie na wenzangu.
Kumbe kuna baadhi yao walikuwa wanafahamu hayo makitu,hvyo tukawa tunafundishana kwa kugusanisha vikojoleo vyetu.
Hvyo tangu hapo nikafahamu kuwa hii dhakari yadumbukia hapa mbeleni.
Jamani na si kwamba nilianza nikiwa na umri huo,la hasha.

Msije sema bure.
Asante.
 
Leooo...
Ok asante,
unajua enzi za udogo usichana nilikuwa mtukutu na mdadisi sana.
Kulikuwa na kitabu flani cha hayo mambo nilikifumania kwenye makabati ya home.
Nakumbuka nilikuwa na 12yrs.
Nilikichukua nikawa naenda nacho shule ili tukaangalie na wenzangu.
Kumbe kuna baadhi yao walikuwa wanafahamu hayo makitu,hvyo tukawa tunafundishana kwa kugusanisha vikojoleo vyetu.
Hvyo tangu hapo nikafahamu kuwa hii dhakari yadumbukia hapa mbeleni.
Jamani na si kwamba nilianza nikiwa na umri huo,la hasha.

Msije sema bure.
Asante.
Ok sawa..
Hebu tuambie ulianza rasmi kula tamtam ukiwa shule kidato cha ngapi au ulikuwa darasa la ngapi na umri gani?
 
Asante.
Nilianza kuujua utamu nikiwa Nafanya kazi tayari, mwaka 2007,
Na nilikuwa na miaka 21.
Ok sawa umejibu vema!

Swali la 4:

Unazungumziaje ndoa za siku hizi ukilinganisha na ndoa za zamani, namaanisha uwajibikaji kwa wanandoa, Je unadhani mahusiano ya ndoa kwa vijana wa leo yamejengwa katika misingi imara kama ndoa za mama/bibi zetu?
 
Hapana kbs.
Ndoa za leo haziko imara,
wanawake wenzangu wanatamaa sana.
Wanatamani wampate mume ambae tayari ana mali,
mali inabidi mtafute mkiwa ndani ya ndoa.
Tofauti na ndoa za zamani,zilikuwa zinadumu kutokana na kueahamiana tabia kwa muda mrefu.
Ila ndoa za siku hzi,
Mmekutana leo,kesho ndoa.
 
Leooo...
Ok asante,
unajua enzi za udogo usichana nilikuwa mtukutu na mdadisi sana.
Kulikuwa na kitabu flani cha hayo mambo nilikifumania kwenye makabati ya home.
Nakumbuka nilikuwa na 12yrs.
Nilikichukua nikawa naenda nacho shule ili tukaangalie na wenzangu.
Kumbe kuna baadhi yao walikuwa wanafahamu hayo makitu,hvyo tukawa tunafundishana kwa kugusanisha vikojoleo vyetu.
Hvyo tangu hapo nikafahamu kuwa hii dhakari yadumbukia hapa mbeleni.
Jamani na si kwamba nilianza nikiwa na umri huo,la hasha.

Msije sema bure.
Asante.
Ndo maanaaa....
 
Hapana kbs.
Ndoa za leo haziko imara,
wanawake wenzangu wanatamaa sana.
Wanatamani wampate mume ambae tayari ana mali,
mali inabidi mtafute mkiwa ndani ya ndoa.
Tofauti na ndoa za zamani,zilikuwa zinadumu kutokana na kueahamiana tabia kwa muda mrefu.
Ila ndoa za siku hzi,
Mmekutana leo,kesho ndoa.

Ok sawa.....

Swali la 5:

Je umeolewa? Kama umeolewa, Je umeolewa na yule alokufundisha mautamu? Je una watoto? Wangapi? na kama hujaolewa, je unaye boy friend? Je ni mpya au yule yule?
 
Back
Top Bottom