Mi ndo bishanga abashaija bana bilionea la kihaya!
Mmmmmmh the secretary wivuu uoooMwarabu wa dubai a.k.a HApendeki
Mi ndo bishanga abashaija bana bilionea la kihaya!
usisahau kumuuliza kama kwao kuna sahani manake nilienda nikapakuliwa kwenye majani ya mgomba.
Wiki ijayo, Zinduna Talk Show itakuwa na mgeni wetu anayekwenda kwa jina la Kipipi
Nitakuwa na-balance gender
Kipipi kuna maswali ya kiume na ya kike.Nitashukuru ndugu mtangazaji Zinduna endapo utanipatia na nafasi ya kuomba donation ya faranga maanake maisha yamekuwa magumu kweli...........!! lol
Ila naomba kuuliza, je hayo maswali ni structured na yanaulizwa kwa kila mgeni hayo hayo au kuna mengine?? Mi ningependa unibadilishie mwaya..
You are my role model...
bishanga, Unga Ltd unafuata nini?
afu mkeo huwa ananililia.
Kwetu huwa hatuhesabu watoto bana ni mwiko kabisa,ila nnao.Bishanga ...mahojiano yanaendelea,
1. Je una watoto wangapi katika ndoa zako za mduara?
2. Je katika ndoa zako zote, ni ipi ulidumu nayo kwa kipindi kirefu zaidi?
Maswali mengine yatafuata
Aniache ili iweje sasa?
Kwani hujui?