kwakweli kutabasamu inahitaji kozi ya muda mrefu,Wakuu JF,
Na imani mpo salama, watu wamekuwa wana shauku ya kufahamu flani ni nani? Sasa kuna wakati hata pm zinajaa, maswali mengi ni ww ni nani?
Naomba niweke picha ndogo tu ambayo nina imani itapunguza mjazano pm.
View attachment 525395
Kwa maelezo haya werevu tumeshakuelewa na kizuri zaidi picha umeambatanisha.Ni mjasiriamali Mali, nina miaka 32, mwanazuoni miaka 6 iliyopita, sina mke and finally sina kids. Professional yangu ni businesses consultant, experience 3 years
Ni mjasiriamali Mali, nina miaka 32, mwanazuoni miaka 6 iliyopita, sina mke and finally sina kids. Professional yangu ni businesses consultant, experience 3 years
Ni mjasiriamali Mali, nina miaka 32, mwanazuoni miaka 6 iliyopita, sina mke and finally sina kids. Professional yangu ni businesses consultant, experience 3 years
Hivi mchele sio nafaka, nitafute uniletee alizeti huwa nakamua mafutaNiko town DSM, nauza alizeti, mchele, maharage, nafaka mara moja moja sana
Me tena meeeeeeeeeeeeeWw ni ke?
Kua Business consultant sio Ujasiriamali?Au mpk watu wote wakalime Matikiti maji?Basi haya. Unaishi wapi mjini na ujasiriamali wa nini
Niko town DSM, nauza alizeti, mchele, maharage, nafaka mara moja moja sana
Ni mjasiriamali Mali, nina miaka 32, mwanazuoni miaka 6 iliyopita, sina mke and finally sina kids. Professional yangu ni businesses consultant, experience 3 years
unasmile nzuri ila una kaukatili fulani kwa mbaliWakuu JF,
Na imani mpo salama, watu wamekuwa wana shauku ya kufahamu flani ni nani? Sasa kuna wakati hata pm zinajaa, maswali mengi ni ww ni nani?
Naomba niweke picha ndogo tu ambayo nina imani itapunguza mjazano pm.
View attachment 525395