Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwonyeshe kituo cha uwekezaji, kule kuna land bank atapata.
habari ZENYU wana JF. kuna muwekezaji mmoja kutoka india anahitaji eneo lenye ukubwa wa hekari 1000, isiwe umbali wa zaidi ya 150km kutoka city centre dsm.
Anatoa sh. ngapi?
Ana 350,000 USD?
Vipi 200km atalubali.je anataka partnership au nkodishe.land ipo na tupo ktk mchakato wa kupata hati
Zumbukuku kweli.sometime inaudhi mtu anapopima joto ktk mambo makini kama haya. ktk siasa ndio kuna kupimajoto kwa hivi.Akirudi lazima aje na Maelezo mazuri else Che itabiidi umpe FAINI