johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,902
- 141,845
Unajua dini ya January?!Wanawake wawili out, membe out na makamba out kwa kigezo cha dini.
Unajua dini ya January?!Wanawake wawili out, membe out na makamba out kwa kigezo cha dini.
MembeLabda atatoka kwenye orodha ya majina 5 yaliyoingia fainali 2015
Walikuwa Magufuli, Amina, Migiro, January na Membe.
Ukiangalia vizuri unamuona makamu hapo!
Kwani January dini gani?Binafsi nilikuwa namuona January kwenye hiyo nafasi ila tangu wadau wanitolee macho kuwa jamaa haitawezekana kutokana na dini, basi karata yangu nairusha kwa Nchimbi, hata nikititazama utendaji wake alipokuwa kiongozi wa UVCCM na jinsi anavyokijua chama, hapo naona kabisa anaweza kupata nafasi.
Alikosa subira.. sasa hivi anaugulia ndani.Hahahaaa ila Membe katika watu wamechanganyikiwa na huu msiba ni Ben M. Yaaani angekuwa kule chama kubwa bado alikua anateleza tu nafasi hiyo halafu ajipange 2025
Mimi najua ni muislam.Kwani January dini gani?
Una uhakika?Mimi najua ni muislam.
Mimi ninajua ni muislam.Kwani January dini gani?
Mangula hana hayo majina. VP lazima apigiwe kura ya vema na mzee Mangula.Binafsi nilikuwa namuona January kwenye hiyo nafasi ila tangu wadau wanitolee macho kuwa jamaa haitawezekana kutokana na dini, basi karata yangu nairusha kwa Nchimbi, hata nikititazama utendaji wake alipokuwa kiongozi wa UVCCM na jinsi anavyokijua chama, hapo naona kabisa anaweza kupata nafasi.
Kutamani urais siyo dhambi. Hata JK aliutamani 1995 na alimshinda Mkapa round ya kwanzaLabda lakini usisahau kuwa aliutamani urais!
Una uhakika?
Kama mzee Mangula ni lazima apige vema basi sioni kikwazo kwa Nchimbi maana hao ndio walikuwa CCM kindakindaki, wanakijua chama na wakati wa uongozi wao hapakuwa na hizi habari za ukanda na MATAGA PRAISE TEAM.Mangula hana hayo majina. VP lazima apigiwe kura ya vema na mzee Mangula.
NdioUna uhakika?
Mimi pia naona huyu Emmanuel anaweza kuwa na nafasi kubwa japo surprise inaweza kutokea.Kama mzee Mangula ni lazima apige vema basi sioni kikwazo kwa Nchimbi maana hao ndio walikuwa CCM kindakindaki, wanakijua chama na wakati wa uongozi wao hapakuwa na hizi habari za ukanda na MATAGA PRAISE TEAM.
Hili suala la dini ni serious? Maana JK alikuwa na PM muislam.Wanawake wawili out, membe out na makamba out kwa kigezo cha dini.
Nikweli Chief, surprise kwa CCM ni mambo ya kawaida kabisa, unaweza kushangaa Mwigulu anapewa shavu wote tukabaki mdomo wazi.Mimi pia naona huyu Emmanuel anaweza kuwa na nafasi kubwa japo surprise inaweza kutokea.
Ni mluteli!Ndio
Musiba anaweza kuibukia jengo jeupeWakuu
Kuanzia tarehe 17/3/2021 mpaka leo ni siku kumi. Kwakuwa katiba inatamka ndani ya siku 14 makamu awe amepatikana, basi sasa rais na chama wamebakiwa na siku 4 kutuletea makamu.
Niwatakie kila la heri na watuletee mtu mwenye uwezo.
Akili kiduchuLabda atatoka kwenye orodha ya majina 5 yaliyoingia fainali 2015
Walikuwa Magufuli, Amina, Migiro, January na Membe.
Ukiangalia vizuri unamuona makamu hapo!