Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Siku Magufuli akipiga mnada ile Ikulu ya magogoni. Mnijulishe nitume wawakilishi wangu.
Awakupima hali halisi kila siku tutagongana nao dar,ahame na mwanaeSafari ya dodoma tutajionea usanii wa hali ya juu sana. Watasema wamehamia ila muda wote watakuwa Dar.
Si angeiandika sehemu yake..hajui kama hicho ni kiapo kwa waisilamu sasa yeye....magufuli walahi mara lugola ni mtamu walahi.Walahi ndiyo "signature" yake kwa sasa!!
Mh akienda likizo ya xmass chato akirudi anaishia Dodoma na ndo anakuwa kahamia jumla.Nimekuwa nawza hivi ile ahadi ya kuhamia Dodoma bado ipo kama namkumbuka ilikuwa ni DEC mwaka huuu hebu tukumbushame maaana naona wazungu wa WB wanakuja magogoni badala ya huku kwetu kwa kina lusinde
Swali la msingi lilikua ni lini hivyo ulipaswa kusema ni siku fulani, tarehe fulani na saa fulaniWatu kama wewe sidhani kama mmeshawahi kufanikisha chochote maishani au hata tu kama una malengo yoyote zaidi ya Majungu, fitina na Unafiki!
JiweNani anaenda Dodoma?
Maamuzi ya kukurupuka na kutaka kiki awamu hii ni mengi sana.Awakupima hali halisi kila siku tutagongana nao dar,ahame na mwanae
KINA MTU MMOJA YUPO DODOMA KIGOGO KAMA SIO KINGUNGE " JIWE AKITOKA MADARAKANI HAKUNA MTU ATABAKI DODOMA" WATARUDI BONGOUtawala huu wa wahuni na waongo waongo sana, Waziri Mkuu muda wote yuko Dar es salaam na Makamu wa Rais naye kila siku yuko Dar es salaam na hawa tuliambiwa wamehamisha ofisi zao Dodoma!
Huyu mtawala naye alisema mwezi ujao anatuachia jiji letu sijui kama ataondoka maana simsikii tena akileta mbwembwe za kuhama
Kama kassimu alishahamia huko lakini kila siku yupo mjiniSafari ya dodoma tutajionea usanii wa hali ya juu sana. Watasema wamehamia ila muda wote watakuwa Dar.
Swali la msingi lilikua ni lini hivyo ulipaswa kusema ni siku fulani, tarehe fulani na saa fulani
Kwani ccm ilishawahi fanikisha jambo gani muhimu kwa nchi?Watu kama wewe sidhani kama mmeshawahi kufanikisha chochote maishani au hata tu kama una malengo yoyote zaidi ya Majungu, fitina na Unafiki!
jana nilikuuliza kama umeshaolewa au pale lumumba wanapasiana wanapasiana tu