NdioDiamond Platnumz si ndio Joseph Kusaga..?
hahaaa cjui kala maharage ya wapiJuzi umetuwekea Uzi Zari kamwacha Mond, we mzee vipi?
ndo wale Samsoni na Delillah wa kwenye bible!Diamond sijui Zari ndo kina nani hao?
Hahahahahaaaàaaaaaaaa wabongo noma ....Nasikia ile album sio yake diamond ni balozi album ni ya kusaga
Ficha I'd yangu please
Diamond Platnumz si ndio Joseph Kusaga..?
hahahahahahaNdo huyo huyo, kale kajamaa domo a.k.a. mtoto wa Tandale ni kivuli tu. Tena Kusaga katoa bonge la kolabo na mwanamuziki fulani hivi jina limenitoka. Kusaga kachana mistari ya uhakika ila muziki wenyewe ni wa kijinga kwa sababu beats zote ni za Kinigeria na South Afrika, hakuna beats za kibongo hata moja.
Duh ajicheke aiseee my sisterMbona umefungua uzi kuusoma!!!.. embu jicheke..
Wote hao ni MangeDiamond Platnumz si ndio Joseph Kusaga..?