Inawezekana kabsa mkuu!ukiunganisha dot ya matukio yake!Afu huyu mke wake alikuwa secretary tu kwenye ofice ya mugabe, hope hata skule sidhan km ipo ya kutosha na ana inferiority complex
leta chanzo tufuatilieTetesi please, siyo confirmed news: Mwenye taarifa atujuze, nasikia Zimbabwe siyo shwari, wanajeshi wamekataa Mugabe kumfukuza VP. Mwenye uhakika atujuze!
Nimepata kutoka kwenye group fulanileta chanzo tufuatilie
waulize vizuriNimepata kutoka kwenye group fulani
usicheze na mbunye!Rais Robert Mugabe amemfuta kazi Makamu wake wa Rais, Emmerson Mnangagwa kwa mujibu wa Wizara ya Habari nchini humo.
Bw. Mnangagwa mwenye umri wa miaka 75, ameachishwa kazi kwa madai kuwa alionyesha tabia za kukosa uzalendo na uaminifu hasa kwa Rais. Hayo yamesemwa na Waziri wa Habari wa Zimbabwe, Simon Kahaya Moyo.
Kufutwa kwake ni ishara kuwa mke wa Rais Robert Mugabe, Bi Grece, atafuata nyayo za mumewe za kuwa Rais wa Zimbabwe.
Siku ya Jumapili Bi. Grece Mugabe alitoa wito wa kutaka mumewe amfute kazi Mnangagwa.
Bw. Mnangagwa, ambaye ni mkuu wa zamani wa Idara ya Ujasusi, amekuwa kwenye mstari wa mbele kumrithi Rais Mugabe.
Kufutwa kwake kunakuja baada ya Rais Robert Mugabe, 93' kutishia kumuachisha kazi Bw. Mnangagwa hatua ambayo imezua uvumi kuwa anataka mke wake kuchukua hatamu za kuliongoza taifa hilo.
siku za hapa karibuni kuna Askofu wangu mmoja Mkatoliki (kama sikosei wa Zanzibar) alinukuliwa akimmwagia sifa rais wetu mpendwa sana JPM na kumlinganisha na Mugabe.Rais Robert Mugabe amemfuta kazi Makamu wake wa Rais, Emmerson Mnangagwa kwa mujibu wa Wizara ya Habari nchini humo.
Bw. Mnangagwa mwenye umri wa miaka 75, ameachishwa kazi kwa madai kuwa alionyesha tabia za kukosa uzalendo na uaminifu hasa kwa Rais. Hayo yamesemwa na Waziri wa Habari wa Zimbabwe, Simon Kahaya Moyo.
Kufutwa kwake ni ishara kuwa mke wa Rais Robert Mugabe, Bi Grece, atafuata nyayo za mumewe za kuwa Rais wa Zimbabwe.
Siku ya Jumapili Bi. Grece Mugabe alitoa wito wa kutaka mumewe amfute kazi Mnangagwa.
Bw. Mnangagwa, ambaye ni mkuu wa zamani wa Idara ya Ujasusi, amekuwa kwenye mstari wa mbele kumrithi Rais Mugabe.
Kufutwa kwake kunakuja baada ya Rais Robert Mugabe, 93' kutishia kumuachisha kazi Bw. Mnangagwa hatua ambayo imezua uvumi kuwa anataka mke wake kuchukua hatamu za kuliongoza taifa hilo.