Zimbabwe na DRC wameingia zamani nchi za kipato cha Kati, Tanzania tunashangilia kwa lipi?

Hivi naomba kuuliza,majirani zako wote wakiwa na magari
na wewe ukinunua baadaye hutamshukuru Mungu kwa kisingizio cha kwamba majirani zako wanayo tangu zamani?
Hivi tunakwama wapi? Kubeza kila kitu nadhani hatujui tunachokitafuta.
Eeeenh, mara hii umekwishakimbilia kwenye magari?

Wewe unaponunua gari baada ya wenzako wote, kitendo chako hicho kimekwishakuwa cha kawaida sana, hakiwashtui tena watu kuona una gari.
 
Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.

Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.

Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.

Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.

Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?

#msitufanye hamnazo.
Kwa hiyo mkuu wewe binafsi ukifanya vizuri jambo ambalo tayari lilishafanywa vizuri na wengine kabla yako hutakiwi kufurahi?
Kwani mkuu unataka uwe na kiasi gani cha pesa wewe kama wewe (personally) ili uamini uchumi umekuwa?
 
Duh napenda magazeti ila siyasomi mara kwa mara hivyo kuna habari zinaweza nipita japo sio headlines.Ningependa nijue waliongeaje kwenye hilo gazeti kama hutojali mkuu.
Soma tu hata 'The Citizen' kwenye mtandao, utaikuta hiyo orodha ya nchi hizo, Zambia na DRC zikiwemo.
 
Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.

Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.

Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.

Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.

Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?

#msitufanye hamnazo.
Mbona hata Somali na Burundi zipo kwenye orodha yako hujazitaja?
 
Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.

Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.

Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.

Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.

Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?

#msitufanye hamnazo.
Tanzania chini ya ccm bwana ni full maigizo ma vichekesho
 
Nilishangaa kuikuta Zimbabwe ipo kwenye Uchumi wa Kati wakati ni masikini wa kutupwa fedha yao haina thamani yeyote,unaenda kununua mkate kwa milioni 12 za zimbawe....Mchicha milioni 6 , mayai tray moja milioni 30.
Jitahidin Watanzania muwe hata mtatembea kidogo, Yote uliyoandika sio kweli, Nauli ya kufika Zimbabwe kwa Bus kutokea Ubungo ni Laki na Nusu tu, nenda kaone kama Wanaishi ivyo, achen uzwazwa
 
Mnatumia nguvu nyingi sana kukejeli,kwani wewe mwenye akili zako ukikaa kimya wakati sie tunashangilia utakosa nini?
Mmeumia sana kumbe!
Unajua hakuna gereza lenye mateso zaidi ya kuwa kwenye kundi la wajinga na waanadanganywa wanashangilia na huna la kufanya. Serikali inaongopa sana na kukuza vitu kama vile inafanya advertisement kama mitandao ya simu.
 
Unajua hakuna gereza lenye mateso zaidi ya kuwa kwenye kundi la wajinga na waanadanganywa wanashangilia na huna la kufanya. Serikali inaongopa sana na kukuza vitu kama vile inafanya advertisement kama mitandao ya simu.
Ajabu nyie wajanja ndio mnaumia na kuteseka!kwa nini msipuuze?
 
Jitahidin Watanzania muwe hata mtatembea kidogo, Yote uliyoandika sio kweli, Nauli ya kufika Zimbabwe kwa Bus kutokea Ubungo ni Laki na Nusu tu, nenda kaone kama Wanaishi ivyo, achen uzwazwa
Acha UPIMBI wewe kujua sehemu sio lazima UTEMBEE kwani mafuriko yaliyotokea JAPAN mpaka niende kujionea ndio nijue yametokea? Kwani Vyombo vya habari vya kutujulisha hakuna? Mfumuko wa bei zimbabwe haujatangazwa kwenye vyombo vya habari au mpaka niende ndio nijue?
 
Nafikiri tunaangalia na umri mkuu. Mtu aliyemaliza degree akiwa na miaka 22 akamuacha mtu mwenye miaka 26 yuko high school siyo sawa.

Tanzania tumepata uhuru zamani sana kulinganisha na nchi hizo zilizotutangulia kuingia uchumi wa kati! Ni aibu kushangilia kuingia uchumi wa kati kipindi hiki!
Kubali kudumaa kupo, nyie ni wadumavu.
 
Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.

Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.

Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.

Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.

Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?

#msitufanye hamnazo.

Utabaki hanazo daima, hakuna ushindi usiokuwa na furaha, lakini inakuwa sio wewe kwa kwanza kushinda,
Kwa hiyo ulitaka tuendelee kufulahia kuwa masikini tu?
Imasikitisha sana kuona taifa langu pamoja na vijana kuwa na elimu lakini bado akiri zao ni sawa na mtu ambaye hajaenda kabisa shule.
Na kama mna vinasaba vya bibi zenu wachawi wenye roho mbaya basi jiyengeni nao ili tiwe nchi ya sayansi ya sasa na sio uchawi mpaka wa mawazo.
 
Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.

Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.

Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.

Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.

Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?

#msitufanye hamnazo.
Hata mimi najiuliza ukiwa na nyumba ya tembe unakuwa uchumi wa kati je ukiwa na nyumba ya bati unakuwa kwenye uchumi wa kwanza.
 
Tanzania walio soma na chadema pekee wanajiona wao pekee ndio hawakuweza kunyimwa Elim kama sisi wanao Sema hatujaenda shule pia utasema Elim zao wamesoma nje ya tanzania

Chadema achen ujinga wa ujuaj mana nyie ndio mbulula balaa sababu mnajiita wasom alafu mnashindwa kuwatawala wajinga ila wajinga Wana watawala achen upimbi


Utakuta kimtu kinaropoka tu tanzania bila Elim kurekebishwa ccm haito toka madarakan kwaio ujinga wa watu ndio umeiweka ccm madarakan?
 
Back
Top Bottom