Zimbabwe matokeo ya urais yanapingwa mahakamani, kidemokrasia wapo juu kuliko Tanzania

ibesa mau

JF-Expert Member
Sep 17, 2015
2,109
1,692
Nimeshangaa sana kuona Zimbabwe matokeo ya urais kupingwa mahakamani, rais ameshindwa kuapishwa mpaka mahakama itakapo fanya maamuzi.
Katibu yetu Tanzania hairuhusu kupinga matokeo ya rais mahakamani. Tumepitwa hata na Zimbabwe katika eneo hilo. Zimbabwe wameonyesha ukomavu mkubwa wa kisiasa hivyo siai kama taifa hatuna budi kuiga.
 
Tanzania sio nchi tena ndugu yangu.......nipo katika uchunguz wa kutafuta jina lingine la kuiita...lakin sio neno "nchi"
 
Nimeshangaa sana kuona Zimbabwe matokeo ya urais kupingwa mahakamani, rais ameshindwa kuapishwa mpaka mahakama itakapo fanya maamuzi.
Katibu yetu Tanzania hairuhusu kupinga matokeo ya rais mahakamani. Tumepitwa hata na Zimbabwe katika eneo hilo. Zimbabwe wameonyesha ukomavu mkubwa wa kisiasa hivyo siai kama taifa hatuna budi kuiga.
kwanini siku zote hizo umeshindwa kutambua kwamba Tanzania ndio nchi ya mwisho kwenye demokrasia na uchumi ?
 
Mkuu sisi ni wa mwisho katika mambo hayo, sisi tunawaona wapinzani kama wahamiaji na tunawaua, matokeo ya uchaguzi hayahojiwi popote duniani labda mbinguni, narudia kusema sisi ni wa mwisho katika nchi za kiafrika wanaotekeleza katiba au wenye mifumo mizuri ya katiba!
 
Ulichokisema sio cha kweli,
Zimbabwe hakuna demokrasia na haitatokea,
Kilichopo ni mfano tu wa demokrasia na sio demokrasia kama unavyodhani,

Hichokipengele cha kupinga tokeo kilikuwepo tokea zamani sema tu jamaa ndo anaingia, lazima azuge utakatifu,

Amini amini nawaambieni mnangwagwa hana utofauti na Mugabe.
 
Akili yako ndio imekufikirisha kuona Zimbabwe kuna demokrasia? Ivi unafikiri kuna namna Mnanangwa Atashindwa, Hio ni mfano tu na jamaa yuko behind na huo mpango ili lionekane ni Taifa la demokrasia, Wewe hujayaona ya Kenya?? Africa safari bado ni ndefu, Tanzania tuko vizuri ndio maana unaona tuna Marais watatu wastaafu
 
Sa
Akili yako ndio imekufikirisha kuona Zimbabwe kuna demokrasia? Ivi unafikiri kuna namna Mnanangwa Atashindwa, Hio ni mfano tu na jamaa yuko behind na huo mpango ili lionekane ni Taifa la demokrasia, Wewe hujayaona ya Kenya?? Africa safari bado ni ndefu, Tanzania tuko vizuri ndio maana unaona tuna Marais watatu wastaafu
Sawa, lakini wana afadhari kuliko sisi, wewe katiba yako imetamka hayo maandishi?, hata kama ni zuga wewe unayo kwenye katiba yako
 
Akili yako ndio imekufikirisha kuona Zimbabwe kuna demokrasia? Ivi unafikiri kuna namna Mnanangwa Atashindwa, Hio ni mfano tu na jamaa yuko behind na huo mpango ili lionekane ni Taifa la demokrasia, Wewe hujayaona ya Kenya?? Africa safari bado ni ndefu, Tanzania tuko vizuri ndio maana unaona tuna Marais watatu wastaafu

Hivi naota? Kipengele hicho ndiyo kinachotumika kupindua matokeo. Zanzibar 1995, Jecha. Bara 2015-akishatangazwa hakuna kuhoji. Huo ndio ustarabu wa watanzania.
 
Sa

Sawa, lakini wana afadhari kuliko sisi, wewe katiba yako imetamka hayo maandishi?, hata kama ni zuga wewe unayo kwenye katiba yako
Afadhali anaezuga lakini katiba inakuwa wazi akipatikana jaji mwenye weledi mambo hubadilika.
 
Tulieni Mnyolewe!

Jakaya alileta Katiba Mpya yenye fursa hiyo mpaka Bungeni japo alikumbana Na Upinzani Mkali Sana ndani ya chama chake lakin Matokeo yake mkiongozwa Na Lipumba mkasusa!

Gharama ya kutotumia fursa adimu lazima tuilipe
 
Back
Top Bottom